Tetesi: Bifu zito laibuka kati ya Harmonize na Rayvan

Tetesi: Bifu zito laibuka kati ya Harmonize na Rayvan

brigedia mafia

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
2,260
Reaction score
2,279
Waswahili wanasema mafahari wawili hawakai zizi moja, huu msemo bhana umejidhihirisha kwa Rayvan na Harmonize baada ya kila mmoja kujiona fundi zaidi ya mwenzake ingawa meneja wao ndugu Ricardo Momo kwa kuficha aibu amekanusha vikali sana

Watu wa karibu wa wasanii hawa wamedokeza kuwa maelewano yao yamekuwa ya mashaka sana sababu kuu ndio hiyo ya kila mmoja kujiona anajua zaidi ya mwenzake

Shuhuda mwingine alisema kuwa Harmonize amekuwa akijisifu chini chini kuwa ngoma ya salome angeshirikishwa yeye ingekuwa kali sana kama ngoma yao ya bado ilivyotusua

1474571008393.png
 
Hii taarifa haiko sawa jana wameonekana wakiogelea na Bibi yao na wako poa tu

wakiwa mbele za watu wanavunga kama ile bifu ya manfongo na shoro mwamba nayo ilikuwa hivi hivi mtu mpaka uijue ilibidi uwe mfukunyuku sana
 
Kama ni kweli daima ntaamini harmonizd ndo chanzo coz kwa kuropoka ndo rais wa waropokaji na pia anaongoza kwa kiki
Tofauti na raymond lakn kama raymond anahusika ikiwa ni kiki basi dogo anafundishwa mchezo mbaya na athar za mchezo mbaya ni mimba
 
Back
Top Bottom