brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Umeona eeh, nahisi wanataka wawapandishe zaidi,ila naomba tu Rich Mavoko asiingie kwenye mkondo huuMmh yetu macho usikute kiki tu wcb kwa kupenda kiki tu hawajambo
Majungu yapo wapi?walimwengu acheni majungu
Mkuu ni lini kiba atausimamisha ulimwengu??? Au bado tuendelee kusubiri...Hawa watoto hebu waache kiki za kipuuzi, wafanye mziki
Urafiki wa mashaka huo ,Hii taarifa haiko sawa jana wameonekana wakiogelea na Bibi yao na wako poa tu
wakiwa mbele za watu wanavunga kama ile bifu ya manfongo na shoro mwamba nayo ilikuwa hivi hivi mtu mpaka uijue ilibidi uwe mfukunyuku sanaHii taarifa haiko sawa jana wameonekana wakiogelea na Bibi yao na wako poa tu
Lakini the so called kiki zingine zinatengenezwa na watu halafu tunawazingizia WCB!!!Mmh yetu macho usikute kiki tu wcb kwa kupenda kiki tu hawajambo