Bifuu kubwa la Like [emoji106] or dislike [emoji107][emoji35]

Bifuu kubwa la Like [emoji106] or dislike [emoji107][emoji35]

Comrade21

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2023
Posts
384
Reaction score
560
Habari,

Kidogo mm humu ni mgeni, ila katka ugeni wangu kuna watu huwa naona wako serious kwenye swala la ku dislike yaani wao hiyo ndo kazi yao kubwa

Kwa kweli sijajua kwamba hawa watu wana lengo gani au mpango gani maana watu wengi sana naona amna lalamika kuhusu hawa jamaa vipi jamani kwan kunabifu lolote na hao watu

Mi kwa upande wangu, sina neno wala shida maana hizo like or dslike hazipunguzii chochote wala haziniongezei chochote

Kama unaona post or comment haijakuvutia we si vunga tu kwan lazima kuonesha reaction kwenye post or comment

Jamani humu ni watu wazima utoto huu wa darasa la kwanza tuuwache, wengine humu ni watu wazima tu na mnafamilia zenu kabisa

Cha umuhimu tupeane support, watu wanaingia humu kuondoa stress na kupata reflection sasa ww unakuja na dslike zako, dah mwana hiyo sio poa

#BIFU BIFU BIFU
 
.
20230426_165053.jpg
 
Habari,

Kidogo mm humu ni mgeni, ila katka ugeni wangu kuna watu huwa naona wako serious kwenye swala la ku dislike yaani wao hiyo ndo kazi yao kubwa

Kwa kweli sijajua kwamba hawa watu wana lengo gani au mpango gani maana watu wengi sana naona amna lalamika kuhusu hawa jamaa vipi jamani kwan kunabifu lolote na hao watu

Mi kwa upande wangu, sina neno wala shida maana hizo like or dslike hazipunguzii chochote wala haziniongezei chochote

Kama unaona post or comment haijakuvutia we si vunga tu kwan lazima kuonesha reaction kwenye post or comment

Jamani humu ni watu wazima utoto huu wa darasa la kwanza tuuwache, wengine humu ni watu wazima tu na mnafamilia zenu kabisa

Cha umuhimu tupeane support, watu wanaingia humu kuondoa stress na kupata reflection sasa ww unakuja na dslike zako, dah mwana hiyo sio poa

#BIFU BIFU BIFU
Aaah I miss the old days 🤣🤣🤣😅
 
Back
Top Bottom