πbei ya mwisho 180kWTF.... Mbwembwe zote hizi inakuja kuuzwa laki mbili na nusuπππππ
inaendesha kawaida tuMara nyingi utakuta linaendeshwa na remote device
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mkali balaaView attachment 1762076
Sarah Saartjie Baartman: Mwanamke wa kiafrika aliepelekwa utumwani na kuwekwa kwenye "gage" ya Maonyesho huko Uingereza na Ufaransa, kutokana na ukubwa wa makalio yake.
Kule mbele anapokaa pilot kile kichwa kinajifungua na kujifunga aisee yale ni zaidi ya maajabu kwanguHuwa sichoki kuiangalia hii ndege....dereva wake anavaa bonge la ovaroli....likitua watu wamejaa kuishangaa
Cc OffshoreSeamenKinachosababisha balance ya meli ni nini? mana ukicheki chini ni nyembamba kuliko juu
Heee kumbe zile tank za maji ndio kila kitu mweeeeUjanja wote wa meli uko kwenye "Ballast tanks" zile zinavyofanya kazi ndo balance na stability ya meli
Sishangai maana kuyakata maji si mchezo aiseee inahitaji nguvu kweli kweli ili dude liweze kutembea maana bila ivyo mtalala baharini miezi na miezi hamfiki mnapotaka kwenda.....Hahaaa balaa ngoja nikuoneshe nyingine hii ni injini ya meli ndogo hii ni Hp 12,000 cylinder 6 hapo unaweza kuona hadi exhaust valves,cylinder bore nkView attachment 1760833
Kwa unlinganisho nikwambie hivi gari la cc 2500 ni kama vile 165hp sasa jaribu kufikiri 12,000 hp ziko vipi
Injini kubwa halafu panga la kukata maji ni kadogo mno whyHii Crankshaft ina Tani 300. Mizunguko wake kwenye ile injini unatoa 108,920 hpView attachment 1760844
Aiseeeee sasa inatokaje hapo iyo meli[emoji44][emoji44][emoji44]
Na huwezi amini kavuliwa na ndoano
Sasa utaichezaje kubwa hvyoUlishawahi kucheza haka kapuzzle Rubik's cube??(Huwa tunatumia vidole kupangilia hizo rangi mpaka zifanane kila upande)
View attachment 1765657
Well, hii ndo Rubik's Cube kubwa kuliko zote duniani