Je ungetamani kuwekeza ktk biashara kubwa big business, kwa mtaji wa kawaida na kuweza kuvuka mipaka yako ya kiuchumi?
nitafute kwa ushauri zaidi 0718512775
Ww nawe ni jipu tuu,acha kutapel watu na biashara zenu za Forever Living na Rifaro au Trevo hapo ulipo ata vocha taabu afu unanishauri mm niwe tajiri....
Tusifikie hatua hizi Za dharau, wala tusimtuhumu mtu mwenye Mawazo mazuri pengine kakosea kujielezea vizuri cha Muhimu tumshauri atoe maelezo Na mchanganuo kidogo hapa ili tumuelewe.