Habari ya leo wana jf,
hatimaye serikali imetoa kauli kua waliofeli mtihani wa kidato cha pili mwaka jana ruksa kuendelea na kidato cha tatu.
CHANZO CHA HABARI GAZETI LA MAJIRA. Hii imekaaje wakuu? Nawasilisha
Kuelekea kampeni za urais huwa kunakuwa na "maajabu" sana. Kutafuta huruma kwa wananchi kwa "Kuzalisha" vilaza.... Somebody fails and you tell him "go ahead".
Habari ya leo wana jf,
hatimaye serikali imetoa kauli kua waliofeli mtihani wa kidato cha pili mwaka jana ruksa kuendelea na kidato cha tatu.
CHANZO CHA HABARI GAZETI LA MAJIRA. Hii imekaaje wakuu? Nawasilisha
Mtaitambuaje kuwa Hii ndio serikali ya Chama Cha mizigo? Mtaitambuaje kuwa wamechemsha , matendo jamani matendo mtaitambua hee samahani nilikuwa kunako ghosipo