big result now kwenye elimu ni janga lingine

big result now kwenye elimu ni janga lingine

Kitaeleweka

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2012
Posts
394
Reaction score
88
Wakuu huu mkakati wa big result naona ni kama mzaha kwa walimu kwani wanatakiwa kufanya kazi kubwa kwa ujira mdogo sana.
Walimu wanaitwa kwenye semina ya siku tano huku wakilipwa tshs 20000 kwa wanaotokea vijijini na 10000 kwa walimu waliopo wilayani yaani mwisho wa siku unaondoka na 50 au laki 1 plus 20 ya nauli huku semina ikiwa ni kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 11 jioni cha ajabu zaidi fedha hizi zimetolewa na shule za halmashauri husika lakini mwisho wa siku wanasemina wanatakiwa wakafundishe kila jioni kwa buku kwa saa na kila wiki aandae ripoti inayoenda wilayani then mkoani then ikulu na hatimaye duniani kwa wadhamini ( sijui hao wadhamini mpaka sasa mchango wao ni upi kwani ela zimechangishwa na shule na nyingine zitatoka kwenye kodi ya line ya simu) hivi itawefanikiwa hii program kweli?
 
Mhh! Ngoja tusubiri kama wiki kumi hivi halafu tuone
 
Wakuu huu mkakati wa big result naona ni kama mzaha kwa walimu kwani wanatakiwa kufanya kazi kubwa kwa ujira mdogo sana.
Walimu wanaitwa kwenye semina ya siku tano huku wakilipwa tshs 20000 kwa wanaotokea vijijini na 10000 kwa walimu waliopo wilayani yaani mwisho wa siku unaondoka na 50 au laki 1 plus 20 ya nauli huku semina ikiwa ni kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 11 jioni cha ajabu zaidi fedha hizi zimetolewa na shule za halmashauri husika lakini mwisho wa siku wanasemina wanatakiwa wakafundishe kila jioni kwa buku kwa saa na kila wiki aandae ripoti inayoenda wilayani then mkoani then ikulu na hatimaye duniani kwa wadhamini ( sijui hao wadhamini mpaka sasa mchango wao ni upi kwani ela zimechangishwa na shule na nyingine zitatoka kwenye kodi ya line ya simu) hivi itawefanikiwa hii program kweli?
ilo ni janga lingine,bora nyie mnalipwa walimu wengine wamegomea semina mpaka wapewe hela kwanza ndipo wahubiriwe iyo big result now,
 
umeacha jingine ongezeko la mishahara ni11% kwa walimu, nadhani kunahaja ya kufanya kitu juu ya elimu ya tanzania, zaidi ya walichokiona mwajb huu.
 
juzi tuliikataa semina ya Aga khan, tuliwaambia kama hawana hela wasirudi tukavunja semina.
 
Mambo ya elimu nchi hii ni kama optional kwa govt as long as watoto wao wako ughaibuni.
 
Buku kwa saa? ndo tumefikia hatua ya kuwadharau walimu wetu kiasi hicho.
 
Buku kwa saa? ndo tumefikia hatua ya kuwadharau walimu wetu kiasi hicho.

Mkuu ndo hali halisi then wana expect big result! Haiingii akilini hata chembe. Watapata habari yao after hizo 10 weeks.
 
ifikie hatua nawalimu muache woga bana!mtatishatisha hapa mwisho wasiku wote kimya!!!!igeni kenya bisi mpate maisha mazuri na ninyi!
 
Buku kwa saa? ndo tumefikia hatua ya kuwadharau walimu wetu kiasi hicho.
Buku kwa saa ndogo dah kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa,heli yenu nyie walimu je na sisi askari magereza tusemeje hata semina zenyewe hatuzijui
 
ifikie hatua nawalimu muache woga bana!mtatishatisha hapa mwisho wasiku wote kimya!!!!igeni kenya bisi mpate maisha mazuri na ninyi!
Kumbe walimu wa Kenya wana maisha mazuri?
 
ifikie hatua nawalimu muache woga bana!mtatishatisha hapa mwisho wasiku wote kimya!!!!igeni kenya bisi mpate maisha mazuri na ninyi!

Muda ukifika tu mambo yatajiseti. Ngoja graduates waongezeke hawa wazee ndo wanazingua. Kitanuka tu

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom