Wizzo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 723
- 256
Serikali imeamua kuongeza ufaulu kwa wanafunzi ktk shule za serikali kwa kuanzisha program ya big result now,nadhani ni idea nzuri lakini imekaa kimagumashi kwa sababu walimu watakao fanya kazi ya kuwafundisha wamepewa muda wa jioni(evening classes) ambao kiuharisia ni overtime.
Sasa kinachoniuma hiyo overtime wanaotakiwa kuwalipa ni wazazi,jaman wazazi tutachangia vitu vingapi? Madawati,lim,ujenzi wa library,madawati yote haya ni yetu! Tena mnaongeza tuwalipe walimu kwa program ilioanzishwa na serikali? This isnt fair kabisa...bado hatujalipa 1000 ya line kila mwezi.
JK haya ndo maisha bora kwa kila mtanzania? Embu fikilia maisha ya watu wa vijijini ambao majority wanategemea kilimo cha jembe la mkono...aaaagghhh!
Sasa kinachoniuma hiyo overtime wanaotakiwa kuwalipa ni wazazi,jaman wazazi tutachangia vitu vingapi? Madawati,lim,ujenzi wa library,madawati yote haya ni yetu! Tena mnaongeza tuwalipe walimu kwa program ilioanzishwa na serikali? This isnt fair kabisa...bado hatujalipa 1000 ya line kila mwezi.
JK haya ndo maisha bora kwa kila mtanzania? Embu fikilia maisha ya watu wa vijijini ambao majority wanategemea kilimo cha jembe la mkono...aaaagghhh!