Big Tigger

TUPACified

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
1,367
Reaction score
604
Finally, nimeona wazushi watatimiza ahadi yao ya kuiongeza BET, na mtu wa kwanza kumkumbuka ni The Channel's former favourite son, 'T.i double g'.

Jamaa aliwafanya rappers wengi waonekane ridiculous with his 'off-the-top' freestyling abilities. Alikuwa anafanya bila nguvu kabisa, afterall, he's from Bx right?

Vid clips za mshkaji hazijawahi kukosa kwenye devices zangu.
 
Namkubali sana Big Tigga hasa kwenye RapCity Basement Freestyle ya Lil wayne nomaaa sana ila kwenye Snake ya R.kelly alitisha.
 
Big Tigg ni balaa...kuna freestyle moja amepiga na Xzibit wakishuka na beat ya Bring em out ndani ya studio za BET..Ni shidaa sana
 
Namkubali sana Big Tigga hasa kwenye RapCity Basement Freestyle ya Lil wayne nomaaa sana ila kwenye Snake ya R.kelly alitisha.
Hiyo freestyle tuliirudia sana mi na my cousins mpaka tukaanza kwenda nae sawa word-4-word, kwenye shout-outs tunaweka yetu.

Sijawahi kusikia ngoma ingine aliyowahi kufanya Mshkaji zaidi ya hiyo.
 
Big Tigg ni balaa...kuna freestyle moja amepiga na Xzibit wakishuka na beat ya Bring em out ndani ya studio za BET..Ni shidaa sana
'T.i.g comin' live from the v.i.p..'
X alipotezwa kwenye hii kwa mtazamo wangu, ila ilikuwa mzuka sana.

Nayoikubali sana nadhani ni aliyokuwa na mtu mzima Guru, especially, michano ya Guru.
 
'T.i.g comin' live from the v.i.p..'
X alipotezwa kwenye hii kwa mtazamo wangu, ila ilikuwa mzuka sana.

Nayoikubali sana nadhani ni aliyokuwa na mtu mzima Guru, especially, michano ya Guru.


Marehem Guru Gangstarr akiwa na braza men P.Diddy
 
Hiyo freestyle tuliirudia sana mi na my cousins mpaka tukaanza kwenda nae sawa word-4-word, kwenye shout-outs tunaweka yetu.

Sijawahi kusikia ngoma ingine aliyowahi kufanya Mshkaji zaidi ya hiyo.

Msikilize na mcheki humo yupo na BUSTA, ngoma inaitwa *If you dont know"...

https://vimeo.com/5218363

Kuna ngoma nyingine yupo na Too $hort, inaitwa "This is how we Eat" something like that, itafute Youtube nadhan itakuwepo, Tig yupo verse ya mwisho kabisa...ni ngoma ya kitambo kidogo (kwenye 2000-2001 hivi)..
 
View attachment 239754
Marehem Guru Gangstarr akiwa na braza men P.Diddy
Session ya Guru niliikubali sana.

Hakuna mtu anayejua kujipendekeza na kuuza sura kwenye rap game kama Diddy, tofauti yake na wauzaji wengine ni ana maarifa flani, so mwisho wa siku anakuwa anawatumia maboya kubaki relevant.

Jamaa ukiwa chini ya management au label yake, utampa aidha shout-out kwenye ngoma, apige intro ama outro, awe back-up wako ktk show, a-host party zako, utatokea kwenye party zake, acheze key character flani kwenye video yako/zako au kivyovyote vile ila atauza tu. Biggie Smallz katumika sana kumpandisha mchizi.
 
Most Definitely my brother, hiyo ngoma yuko na Bus' nimeona video yake mara kadhaa, nilikuwa nimeisahau kabisa.

Ambayo yuko na Too Short ntaitafuta. Umetisha arif
 
Keith edward elam a.k.a (gifted unlimited rhymes universal )guru kitambo r.I.p.
 
Guru na Dj Premier ni pioneers of hardcore hip hop..Kama NWA walivyokua pioners of Gangsta rap..Kundi la Gang Starr mara nyingi linasahaulika on the mainstream labda sababu walikua very konshas..

Nakumbuka GTA 3.liberty stories..kuna nigga alikua anaitwa 8-ball alikua voiced by Guru.

RIP
 
Tigger sasa hivi ni host wa kipindi cha mchana kwenye stesheni ya V-103, THE PEOPLE'S STATION, Atlanta.
 
Mainstream rap ni ya watumwa siku zote, hawana uhuru wa kufikiri wala kuthubutu. Wanaojitambua na kujaribu kufikiri, wanafungiwa milango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…