Big time for upcoming enterpreneurs - Victory Mobile Network!


ofisi zenu ziko wapi pale mjini?
 
:nerd:
15,000 + (40,000 x 3) = 135,000
Loan 200,000
5 x 46,000 +(40,000 x 5) = 430,000
Loan 500,000
10 x 60,000 +(40,000 x 10) = 1,000,000

Total Loans = 700,000
Total Payments = 1,565,000

Interest Rate 123%
Wajinga ndo waliwao!!!

hesabu za uongo hizi!
 
Wazo zuri, kwa wenye imani na hizi mambo wajiunge.
 
ofisi zenu ziko wapi pale mjini?

Mjini Dar Es Salaam, tupo Samora Ave. PPF HOUSE, mkabala na Harbour View Hotel. Ila kwa 'nature' ya kuwajali wateja wetu, tuko 'mobile' tukiwafuata huko waliko 'physically' na 'electronically'.
 
Wazo zuri, kwa wenye imani na hizi mambo wajiunge.

Nawaomba mjenge imani kidogo tu, na faida yake mtaiona punde.

Najua kwa wenzetu wanaotoa huduma kama yetu, mteja akiamua kujitoa huwa anasumbuliwa sana, na kama akipewa amana yake basi huwa anakatwa kiasi fulani cha pesa.

Huduma yetu mtaipima wenyewe, na hata msiporidhika hakuna mizengwe yoyote mteja akiamua kujitoa.
 
Tunawatakia Idd njema Waislam wote nchini na duniani pote, Idd Mubarak!

Ofa maalum ya Idd -el- Fitri, kwa wale wote watakaojiunga na Victory Mobile Network mwezi huu wa nane, punguzo maalum la ada ya kujiunga Tsh. 10,000/= tu badala ya Tsh. 15,000/=

Kuanzia tar. 01 Septemba 2012, ada ya kujiunga itakuwa Tsh. 20,000/= tu.

Karibuni Victory Mobile Network, kwa maendeleo na mafanikio ya wajasiriamali wadogo na wa kati.

Administrator,
Victory Mobile Network.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…