Big Up Gwambina

Mario Kejob

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2020
Posts
441
Reaction score
536
Hongera zenu Gwambina kwa kuonyesha mchezo laukama nyie ni wageni kwenye league ukilinganisha na wale jamaa wa kuanua kinu kila wakipata mpira. Keep it up na mjitahidi mbakie kwenye league na mwakani mtakuwa timu nzuri zaidi.
Mpira ni matokeo.
 
Mohamedi Makaka ni golikipa mzuri saana! Tatizo lake ni mzee wa kuuza mechi ..... sitasahau alichofanya mechi ya Singida na Stand, Mbao na Stand, Alliance na Stand ... timu yetu pendwa ikashuka atabaki kuwa wa hapahapa na uhodari wake woote hatachezea timu kubwa
 
Are you sure kuwa anauza?
Au huwa na mapungufu madogo madogo yanayoigharimu timu?
 
Mechi 4 bila kupata goli ni nuksi kwa timu..
Kocha na benchi lake wajitafakari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…