qn of sheba JF-Expert Member Joined Sep 13, 2011 Posts 3,230 Reaction score 1,380 Mar 10, 2014 #21 Mr. Wise said: qn of sheba we ni noumaaaah, duh yan almost kila mtu unamjua, yaani mi kila siku napata hamu ya kukujua, aiseeee!!We hatareee Click to expand... Lmao! unajua enzi za ujana nilikuwa mdau mkubwa wa magazeti ya udaku Kasheshe,Maisha,Sani,Komesha nilukuwa sipitwi hasa ukisoma boarding unakuwa na hamu ya kujua mengi kipindi cha likizo. Sikuiz nimestaafu haya mambo
Mr. Wise said: qn of sheba we ni noumaaaah, duh yan almost kila mtu unamjua, yaani mi kila siku napata hamu ya kukujua, aiseeee!!We hatareee Click to expand... Lmao! unajua enzi za ujana nilikuwa mdau mkubwa wa magazeti ya udaku Kasheshe,Maisha,Sani,Komesha nilukuwa sipitwi hasa ukisoma boarding unakuwa na hamu ya kujua mengi kipindi cha likizo. Sikuiz nimestaafu haya mambo