Big Ups to the University of North Carolina

Big Ups to the University of North Carolina

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
This is for y'all.....

[ame=http://www.youtube.com/watch?v=-26bRZEedZg]YouTube - Petey Pablo - Raise Up[/ame]
 
Mwaiona diploma ya ualimu inavyoendeshwa,
kwa kawaida kuhitimu mafunzo ni miaka miwili.Lakini kwa sasa hata mwaka hawamalizi wanakuwa wameisha hitimu.
mfano walioingia mwaka 2008/2009,waliondoka chuo mwaka jana mwezi wa tano,wakielekea BTP yaani kwenye mazoezi ya kufundisha mashuleni.walikaa huko miezi kama 4 tu.Waliambiwa warudi majumbani kwao hadi mwaka 2009 mwezi wa 4 tayari kufanya mtihani wa kuhitimu diploma yao.
Kwa hiyo kwa kifupi diploma wanaisomea si zaidi ya mwaka mmoja,kwani mwaka wa pili wote wanakuwa makwao.
Walioingia 2009/2010,
Nao walianza mwezi wa tisa mwaka jana,kwa sasa wako BTP hadi mwaka 2010 mwezi wa 4 watakuja kufanya NECTA.Kwa kuhesabu hao wamesoma kwa muda wa miezi 5 tu.
HIYO NI DIPLOMA YA UALIMU KWA MIAKA HII.JE elimu inaenda wapi?
 
Back
Top Bottom