Bigirita uko wapi laazizi?

Oh! kwanza uwe tayari kuwasamehe, halafu kama ni kufidia basi nitasimamia walipe haraka. Hizo adhabu kali mno kwa watoto wa mwanamke mwenzio

mmh kweli?bas nishauri niwwape adhabu gan?
 
Bigirita yupo busy sana na event ya tar. 25 Dec.
 
apana.ni yule mtoa vizazi vya kike.
anapenda sana kufanya safari na akifika kati kati ya safar anasimamisha tukutuku na kuzindika kichaka.
ana pilipili na hoho kwenye friji la mama bg
anapenda kutoa lami na kuweka vumbi

Rose wauwaaaaaaaa.....hivi mbona hata nikitangaza adhabu wala hujali...???
 
hahaha anataka waende wote wakaangalie mazao yao shambani huku wameshikana mkono with a big smiles!:teeth:

Tena huku wakiwa barefoot!......
 
Kwa makosa waliyofanya wape wiki moja tu waombe msamaha, ila wasipofanya hivyo basi nami nitajitoa maana watakuwa wametaka wenyewe. lakini kwa leo nawaonea huruma hakyanani kabisa, hizo adhabu!!! hata mimi zingeniweka pabaya....
mmh kweli?bas nishauri niwwape adhabu gan?
 

unafanaya nini apo?
rr usinichezee wewe nakwamboia we endelea kuniboa ata remote stakwachia tean..adahabu yako itakuwa jupika kuosha vyombo na kudek chooni ...xmas mpk new yr
 
unafanaya nini apo?
rr usinichezee wewe nakwamboia we endelea kuniboa ata remote stakwachia tean..adahabu yako itakuwa jupika kuosha vyombo na kudek chooni ...xmas mpk new yr

:love::love::love::love:
 
Kwa makosa waliyofanya wape wiki moja tu waombe msamaha, ila wasipofanya hivyo basi nami nitajitoa maana watakuwa wametaka wenyewe. lakini kwa leo nawaonea huruma hakyanani kabisa, hizo adhabu!!! hata mimi zingeniweka pabaya....

sawa
mi nachokitaka amwambie mama bg ..ROSE HATAKI...
WE NGOJA UYU DAWA YAKE KUMFUNGIA TU UVUNGUNI BASI AKITOKA UKO ATAKUWA AMENYOKA....kisusio na pilau+mbege ntakuwa namrushia uko uko uvungun..
 
Rose wauwaaaaaaaa.....hivi mbona hata nikitangaza adhabu wala hujali...???

hahahaa hahha mimi na wewe tena ?itaje tena itaje tena wima ntajali ma dear as long as ths xmas n nw yr ntakuwa huru kale KASUMBUFU KANGU NTAKUWA NIMEKAFUNGIA UKOOOOO UVUNGUNI ...so wewe sema tu mintakusikiliza...tuanzie kwa eliza then tumalizie ukooooooooooooo kwa bare fooot...!!!!!!!!
 

The Following User says Thank You to Rose1980 For This Useful Post and he finds BALLANTINE'S a useful drink for this holiday season:

GY (Today)

 

mambo vipi wewe mrembo?ndo tabia gani kuniweka pending jana mtoto wa mwanamke mwenzio?
 
najua hata kama atanyamaza asijibu hapa lakini ujumbe utakuwa umefika. Akiendelea hata hizo neema usimpe tena maana atakuwa anatusumbua. tumwonee hurima yeye halafu yeye hajali!!!!
sawa
mi nachokitaka amwambie mama bg ..ROSE HATAKI...
WE NGOJA UYU DAWA YAKE KUMFUNGIA TU UVUNGUNI BASI AKITOKA UKO ATAKUWA AMENYOKA....kisusio na pilau+mbege ntakuwa namrushia uko uko uvungun..
 
mambo vipi wewe mrembo?ndo tabia gani kuniweka pending jana mtoto wa mwanamke mwenzio?

ebu nipishe mieee usinijazie mbu mie...mwanaum egan weew uyoga unakushinda mayai ya kenge yamekushnda afu unataka ni....haaa mwanaume pumu tena pumu haswaa unitueeeeeeeeeeeee...usinijue jue nshakwambia me n u z ova til faza notice.
ova.
 
najua hata kama atanyamaza asijibu hapa lakini ujumbe utakuwa umefika. Akiendelea hata hizo neema usimpe tena maana atakuwa anatusumbua. tumwonee hurima yeye halafu yeye hajali!!!!

hahaha ahaha!!!!!!! kweli
 
Am a dog....mbwa huwa analia au kucheka?

ndo umeandika nin misielew?
nakuongezea adhabu nakwambia....utakuwa unanifulia baadhi ya nguo zangu zileeeeeeeeeeeeeee!!!!!!
 
The Following User says Thank You to Rose1980 For This Useful Post and he finds BALLANTINE'S a useful drink for this holiday season:

GY (Today)


athante!!!!
tutaanza trh 24 au siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…