ndo umeandika nin misielew?
nakuongezea adhabu nakwambia....utakuwa unanifulia baadhi ya nguo zangu zileeeeeeeeeeeeeee!!!!!!
mambo vipi wewe mrembo?ndo tabia gani kuniweka pending jana mtoto wa mwanamke mwenzio?
Habari yake Mama kubwa....unamtafuta hatibreka au?
rr umesemaje we mwanaume?
sasa adhabu yako nakununia kuanzia xmass mpk new yr ..na autaenda popote ntakufungia seblen ntakachokuachia ni remote tu bas..sim zote ntazifungia....mama bg hafai...nimewaruhusu mpeane darasa kwa semester moja sasa mwataka kuifanya kozi ya miaka mitano?ata inginiaring haifany ivo...!!!!
andika msg sema pole mama bg nilikuwa nakutania....la sivyo maji utaita mma leo...I SAID.
Pole Mama B nilikuwa nakutania.....(Mama B twende chemba basi)
apana.ni yule mtoa vizazi vya kike.
anapenda sana kufanya safari na akifika kati kati ya safar anasimamisha tukutuku na kuzindika kichaka.
ana pilipili na hoho kwenye friji la mama bg
anapenda kutoa lami na kuweka vumbi
Nisaidieni namba za BABA Askofu!
Nimegundua kuna mtu anahitaji toba kabla ya Parapanda hapa!
unafanaya nini apo?
rr usinichezee wewe nakwamboia we endelea kuniboa ata remote stakwachia tean..adahabu yako itakuwa jupika kuosha vyombo na kudek chooni ...xmas mpk new yr
NAdhani ukiongeza adhabu, zingine zitamaanisha kumsamehe, maana kama hii kwangu naona ni ya kawaida kabisa kuwa ni sehemu ya wajibu tu.
athante!!!!
tutaanza trh 24 au siyo?
:confused2:....😛ray:
:tape::tape:
:A S-confused1:
:noidea:
PJ... ngoja Bigirita aje ajibu hizo tuhuma kwanza.... Kukiri ni kukubali na kubadilisha mwenendo
Kweli umekasirika....:bolt:
we askofu NTAKUSIRIMISHA muda si mrefu!!!!!
the following user says thank you to rose1980 for this useful post and he finds ballantine's a useful drink for this holiday season:
nimekumis roseamen amen mpendwa!!!!!
finest scotch
Rose ndo tushaanza hivo...hatusimami mpaka 3rd January
finest scotch
ahh ntake nini mie mtoto wa kingoni? nipe raha baba nipe nifurahiiiiiiii...rr simtak teeeeeeeeena!!!!!!!!!!
CLOSER.......closer
Pole Mama kwa matatizo yote yaliyokupata Jumamosi na Jumapili.... Mungu ni mkubwa, hayo ni mapito tu...
Nakutakia Heri ya Noeli, Yesu azaliwe moyoni mwako uachane na ma-hatibrekas
:violin::violin::violin:
ahh sasa nikicheki jinsi unavyovuta nyuz la ilo gtaa sipat picha daaaa jisns utaklavyokuwa unanivuta nyuzi zangu za mbavuni uku nikikuimbia mwimbo wa SPANISH GUITAR BY TON ... hahah hahah rr rest in pc!!!!
ebu nipishe mieee usinijazie mbu mie...mwanaum egan weew uyoga unakushinda mayai ya kenge yamekushnda afu unataka ni....haaa mwanaume pumu tena pumu haswaa unitueeeeeeeeeeeee...usinijue jue nshakwambia me n u z ova til faza notice.
ova.