Biharamulo biharamulo biharamulo biharamulo,kagera

Biharamulo biharamulo biharamulo biharamulo,kagera

Elly Andrew

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
411
Reaction score
175
JE WEW NI MWALIMU MWAJIRIWA NA UNGEPENDA KUFANYIA KAZI MAENEO YA BIHARAMULO MKOANI KAGERA nawe uko DODOMA? NITAFUTE KUPITIA 0766327457 AU elbinmuna@gmail.com
 
mimi natafuta mwalimu idara ya sekondari wa kubadilishana anayetoka mikoa ya Singida na Manyara aje wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma.nitafute kupitia 0765070911
 
mimi natafuta mwalimu idara ya sekondari wa kubadilishana anayetoka mikoa ya Singida na Manyara aje wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma.nitafute kupitia 0765070911

kijana wa nyumban nawe walikutupa mbal kias hcho?pole sana
 
Eti mie hufikiri kua Mtumishi wa Serikali anatakiwa kuwa tayari kufanya Kazi sehemu yoyote ile Tanzania,Maana Nchi ni yetu sote,kumbe Mambo ni tofauti?
 
Eti mie hufikiri kua Mtumishi wa Serikali anatakiwa kuwa tayari kufanya Kazi sehemu yoyote ile Tanzania,Maana Nchi ni yetu sote,kumbe Mambo ni tofauti?

Ni kweli usemayo ndo maana sisi tumeshafanya vya kutosha huku tuliko tunataka tukafanye tena huku tuendako
 
ndo hivo ndugu yangu huu mwaka wa tatu sasa

aisee mm mwaka wa kwanza nataka nirudi mitaa jirani na home coz huku wanapaweza wenyeji hata kama sgd au dom kukoje ni bora sisi kwetu tunawapenda wageni/watumishi pamoja na kuwa nashda nyng za ukame
 
eti mie hufikiri kua mtumishi wa serikali anatakiwa kuwa tayari kufanya kazi sehemu yoyote ile tanzania,maana nchi ni yetu sote,kumbe mambo ni tofauti?

unaweza kuwa tayari but unaoenda kuwatumikia wasiwe tayari...
 
unaweza kuwa tayari but unaoenda kuwatumikia wasiwe tayari...

Sababu kuu hapo ni moja tu,unataka kurudi kwenu make navyojua hakuna sehemu zimekuwa shida na hazina walimu wa kutosha kutokana na jiogrfia na mambo kama ya uchawi kama baadhi ya maeneo ya Kigoma na Rukwa kwa hapa Tz lakini wapo watu wanavumilia wanakaa na kuna mfano dhahiri tena kupitia hapa Jf mwalimu yuko Ngara akataka kurudi kwao Rungwe,Mbeya akampata mtu yupo Sikonge,Tabora huyo jamaa alighairi kwenda
 
sababu kuu hapo ni moja tu,unataka kurudi kwenu make navyojua hakuna sehemu zimekuwa shida na hazina walimu wa kutosha kutokana na jiogrfia na mambo kama ya uchawi kama baadhi ya maeneo ya kigoma na rukwa kwa hapa tz lakini wapo watu wanavumilia wanakaa na kuna mfano dhahiri tena kupitia hapa jf mwalimu yuko ngara akataka kurudi kwao rungwe,mbeya akampata mtu yupo sikonge,tabora huyo jamaa alighairi kwenda

umeona eeeh wakat mwngne sio uchawi tu, ila kwa kuwa wew ni wakuja au mtumish utakiona aisee mwanzon mambo hayo nilikuwa nayaskia tu kwa watu but now live
 
unaweza kuwa tayari but unaoenda kuwatumikia wasiwe tayari...

Ok,if that happens,then what to do? au suluhisho ndo kuwakimbia mkuu! Mie eti nafikiri kua sisi tumejaliwa kusoma ili tutatue matatizo ya Jamii zetu na wala si kuyakimbia,am i wrong up to this point?
 
sasa we wa biharamulo huko kuna nn? ruziba, kagango, biharamulo sm, umoja, kutwe che mbogo, mihongora, mavota.... tatizo lenu ni unafiki tu, na kwa sasa mwl, ukienda b"mulo unapangwa bush ya hatari.
 
JE WEW NI MWALIMU MWAJIRIWA NA UNGEPENDA KUFANYIA KAZI MAENEO YA BIHARAMULO MKOANI KAGERA nawe uko DODOA? NITAFUTE KUPITIA 0766327457 AU elbinmuna@gmail.com

bwana, mie nipo dom pande za chako ni chako ila siutaki unafiki wa mwl, Dauda. hongereni kwa kombe la mbassa. halmashauri mkala sita toka kwa home boys.
 
bwana, mie nipo dom pande za chako ni chako ila siutaki unafiki wa mwl, dauda. Hongereni kwa kombe la mbassa. Halmashauri mkala sita toka kwa home boys.

kombe la mbasa linachezwa wapi? Unafiki gani huo? Mwl dauda ndo nani? Nijuze
 
ok,if that happens,then what to do? Au suluhisho ndo kuwakimbia mkuu! Mie eti nafikiri kua sisi tumejaliwa kusoma ili tutatue matatizo ya jamii zetu na wala si kuyakimbia,am i wrong up to this point?

ndugu hzo theory tu sehem zngne hazfanyi kazi,hata hvyo watu wanatofautiana ktk kuyatazama maisha na nguvu ya kuyakabili mazngra. 1day ntakuja kuyashuhudia hapa na anayepafahamu atakiri juu ya wanamahanga,wananzengo,nyamahuna,katahoka,kalenge,nyamigogo aka mbogoshi nk.
 
ndugu hzo theory tu sehem zngne hazfanyi kazi,hata hvyo watu wanatofautiana ktk kuyatazama maisha na nguvu ya kuyakabili mazngra. 1day ntakuja kuyashuhudia hapa na anayepafahamu atakiri juu ya wanamahanga,wananzengo,nyamahuna,katahoka,kalenge,nyamigogo aka mbogoshi nk.
Mhhhh,ok!
 
umeona eeeh wakat mwngne sio uchawi tu, ila kwa kuwa wew ni wakuja au mtumish utakiona aisee mwanzon mambo hayo nilikuwa nayaskia tu kwa watu but now live

Achaujinga sema mengine Biharamulo hakunamambo ya uchawi
 
ukishindwa maisha Biharamulo usitegemee kuyapata hata huko unako taka kwenda, mi nimetoka Mwanza Nyamanoro mwaka wa 8 niko B/MLO, sitegemei kuondoka, unakataa kuishi ktk vijiji ulivyo vitaja unataka nani akaishi huko?. ushirikina upo kila sehemu.
 
Elly Andrew kama umeshindwa kuishi Biharamulo basi wewe ni kilaza na huwezi kutoka kimaisha,mtumishi gani wewe unashindwa kuishi biharamulo?

Ninamashaka na wewe! Ngoja nianze kukufanyia kazi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom