Biharamulo biharamulo biharamulo biharamulo,kagera

tulia (bianamlo) wewe, au umechoka kula ndizi na ndimasi? Nitakuombea wakupeleke kata ya bisibo kijiji cha kiluluma au siyo

kusema kwel ishu za msosi bei nafuu sana kwa hilo la ndiz, mbuz,maharage,matunda nk kuko poa sana waweza kuish kwa salary hata ya laki unusu
 
elly andrew kama umeshindwa kuishi biharamulo basi wewe ni kilaza na huwezi kutoka kimaisha,mtumishi gani wewe unashindwa kuishi biharamulo?

Ninamashaka na wewe! Ngoja nianze kukufanyia kazi

unaifahamu sababu ya mim kutaka kuhama? Hata kama kwako wew unamanufaa hlo ni juu yako na inategemea unaish b/mulo ya wapi ndugu, kuniita tu kilaza hata sioni shda ni kawaida kwa binadam alyekosa ustaarabu,nashukuru kipanga unaakili sana
 
Last edited by a moderator:
ukishindwa maisha biharamulo usitegemee kuyapata hata huko unako taka kwenda, mi nimetoka mwanza nyamanoro mwaka wa 8 niko b/mlo, sitegemei kuondoka, unakataa kuishi ktk vijiji ulivyo vitaja unataka nani akaishi huko?. Ushirikina upo kila sehemu.

nashukur kukubal ushrikina upo kila mahali japo unatofautiana kila mahali, tulio nyabusozi na kalenge tunayafahamu wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…