Biharamulo: Kampeni, kura na matokeo!

Umeshaanza kuleta za kuleta ili kutishia watu wanyamaze wasiseme, ukirudishiwa kibao unaanza kulia na kuita safina.

Acha vioja u mtu mzima sasa.

- Another Hillarious.......Bwa! ha! ha! mimi ni mtuzima siajwahi kutishia mtu nyau, huwa ninafanya kweli you know that! bring it on! ukileta mapigo ninajibu mapigo tena kiroho mbaya sana, ila ukija na hoja hamna noma uamuzi ni wako kusuka au kunyoa! Siogopi mtu!

FMEs! ni Wazee wa sauti ya umeme!
 


Kheri kufungiwa JF kuliko mkuficha nilichonacho moyoni. Huyu ni FMES, sijui ana title gani pale chuo cha mafisadi.
 
Wewe ndo huna maana na meno yako yaliyooza. Sasa you dared me. I'm a certified wingnut. Stay tuned for the nukes garden tool


Bwa ha ha ha ha ha ha ha, mtanitafuta sana mwaka huu. Muulize mwenzio alinitabiria kila jina lakini mwisho wa siku aliishia kujiaibisha.


Mlioko humu kutafuta watu mmefulia sana, na bado mtahaha na kutaja wasiokuwemo.

I won't change that dial, bring the nukes ufurahishe ukumbi, bring them on....
 
FMES,
Sijakuelewa unaposema Mwalimu hakupenda sheria. Yaani ndiye aliyeleta utawala wa arnachy Tanzania?
 
Sitaji, taja......

...umeunga bandwagon la kina sheikh Yahya feki, ukiiga tembo ...... utapasuka msamba.

Umefulia si chochote si lolote, huna maana. Hebu pisha huko.

- Whaat? Mimi ni FMEs wazee wa sauti ya umeme na kumkoma nyani giladi, tena alyways.

FMEs!
 

Mambo ya mtu kupelekwa utamu yeye na dadake yamekujaje humu kama sio utoto. Naelewa kwa nini uko mdaku daku na mkuda kuda, kumbe ulikuwa na respectable member mpeleka data UTamu....bwa ha ha ha ha haaaaa.

Kumbe Sheikh Yahya feki ajijua, maana ajireveal kabla hajatajwa.

I will be here 2morow so nione hizo hoja zako za kikuda, acha nikajimwage viwanja leo ijumaa.
 

Yeah nenda kamegwe
 
FMES anazo data za kwanini walikesha hata hawakulala kwao. Kama kweli FMES una mapenzi na nchi hii sema yote. otherwise unaniyeyusha kinoma.

- Wewe furaha yako ni ligi zisizokuwa na faida kwa taifa, kama una ushahidi uweke hapa mkuu tuuchambue na nitakuunga mkono, tupunguze longo longo na ligi zisizokuwa na masilahi kwa taifa.

- Oscar ni kijana anayeonyesha kwamba ana umakini, ninaridhika sana na Cv yake, sijui ya uraia kama kweli ana matatizo ya uraia anatakiwa akae pembeni na arudishwe kwao mara moja, lakini sheria ifuatwe sio kumuhukumu kwa maneno tu, kama kwa kuwa na huu msimamo ninakuyeyusha I am not sorry mkuu, tuendelee kukata ishus hapa.

- Ningekuwa na tatizo na dataz na chama changu nisingezileta hapa.

Respect.

FMes!
 

Kwenye Chuo Cha Mafisadi wewe ni dean wa faculty ipi? propaganda? Unazo data kwa kuwa ulisema hapa kama sikosei. Mzimu wa huyo Dr wa chadema au tlp naona unakunyima usingizi.

Huwezi kuwa na tatizo maana Mkandala mlimuweka pale, RITA mliwatafuta ndo maana mkachelewa kulala. Ilikuwa kama zege kuwa kila mtu anawekwa sawa. ila zile karatasi za miaka ile mmezipata?

Kama RA mlimpa mtashindwa huyu?
 
Last edited:

- Hapana mimi sijawahi kuishiwa mpaka nauli ya kwenda nyumbani kwetu, na kuishia kwenda kukopa kwa dereva, halafu kuja JF kuwaponda madereva na huwa sina udaku wa kwenda kujibanza kwenye vichochoro vya kazini kwa mke wangu, kuona kama kuna njemba mwingine anabeba, ingawa wanambebaa anyways, Bwa! ha! ha! mkudaaaaa!

Respect.

FMeS!
 


Hizi tunaita ni pumba !
 
FMES,
Sijakuelewa unaposema Mwalimu hakupenda sheria. Yaani ndiye aliyeleta utawala wa arnachy Tanzania?

- Ninasema hivi Mwalimu alikua the greatest, lakini moja ya mapungufu yake makubwa na ambayo yametuweka hili taifa pabaya sana leo, ni yeye kutoheshimu utawala wa sheria ndio maana mpaka leo Tanzania, kunzia wananchi mpaka viongozi wetu hatupendi sheria.

Bado hujanielewa mkuu?

FMEs!
 
Hizi tunaita ni pumba !

- Hapana ni majibu ya viroja, pumba ni kupiga mke kama unapiga gunia la pamba, halafu akikimbia ninaenda kumbemebeleza na kuomba watu wanibembelezee ili arudi halafu nimtwange tena, that is pumba tena big time, au?

Repsect.

FMEs!
 
Tangu nijiunge na JF sijawahi kumuona mwana CCM naweza kusema aliyekunywa maji ya bendera lakini very objective zinapokuja issue za kitaifa kama FMES. Tunatofautiana sana..lakini jamaa kama ni mawe..hata kama ni mawe anawarushia CCM: Kudos mkuu FMES.

CHADEMA kama chama ambacho nafikiria kukipigia kura should do more than that. Kama wana data kwa nini wasizimwage wananchi wazichambue wenyewe?

Wengi hapa wanafikiria kwamba kuna wanaomtetea Mukasa sijui nani..I for One I dont..maana simjui..lakini unaona kabisa issue inavyochezwa..itawacost uchaguzi CHADEMA:

Nadhani CHADEMA wanahitaji akina James Calville wao...wawasaidie namna ya kucheza politics. Huwezi kuallege harafu unakwenda Dar Es Salaam..wakati wapiga kura wako huko Biharamlo..wewe wamwagie sera na ushahidi watakuelewa. Ukweli ni kwamba at times CHADEMA wanatuvunja moyo prospective voters. CCM haina mpya..lakini CHADEMA lazima waonyeshe kwamba ni tofauti.
 
 

- Mkuu Masanja, ahsante sana kwamba finally somebody understands my point, eti mimi ni Chadema, ninaenda kugombea jimbo na CCM, nina ushahidi 100%, kwamba mgombea wa CCM sio raia, ninatakiwa kuwatwanga CCM hata kabla ya uchaguzi kufikia,

- Ninatakiwa kupeleka pingamizi kwa NEC, halafu kuitisha press na kuyaweka yote ya ushahidi wa uraia wa mgombea wa CCM hadharani, WHY? hii ni kuwabana NEC wasijaribu kucheza faulo, lakini eti ninakwenda JF na magazetini tu na maneno bila facts, I do not get it!

Respect.

FMEs!
 

Kwanini usiende kuomba kazi ya u- PR kule CHADEMA. Kwakweli utawasaidia sana kimawazo, ofcourse kama watakusikiliza.
 
Wajameni amani kwenu, JF huwa zinakatwa hoja na facts. Basi hii ligi nyingine tusimamishe tuendeleze hoja kwa hoja. Kwani naona kama sio haya majina ya bandia tungeviziana vibambazani.
Heshima kwenu wakubwa na wadogo tuache yasiyojenga turudi kwenye mada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…