Biharamulo kwa mzee Jaffari

Biharamulo kwa mzee Jaffari

I AM WHO I AM

Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
49
Reaction score
35
Habari ndugu zangu.
Nauliza yeyote anaemfahamu marehemu Mzee Jaffari aliyekuwa anaishi maeneo jirani na stand ya Biharamulo. Alifariki miaka ya 2008 hadi 09. Alifuatiwa na mkewe mwaka 2010.
Pia kwa mkewe huyu alikuwa na watoto 3, wakike 2 na kiume 1. Moja ya watoto wake anaitwa Nana au Nadia na wa kiume Salim.
Yeyote mwenye kuhisi anataarifa za familia hii tafadhali comment namba zao za simu au jinsi ya kuwafikia.
Wakati mwingine wamekuwa wakienda Uganda na Rwanda kwa ndugu zao.
 
habari ndugu zangu.
Nauliza yeyote anaemfahamu marehemu mzee jaffari aliyekuwa anaishi maeneo jirani na stand ya biharamulo. Alifariki miaka ya 2008 hadi 09. Alifuatiwa na mkewe mwaka 2010.
Pia kwa mkewe huyu alikuwa na watoto 3, wakike 2 na kiume 1. Moja ya watoto wake anaitwa nana au nadia na wa kiume salim.
Yeyote mwenye kuhisi anataarifa za familia hii tafadhali comment namba zao za simu au jinsi ya kuwafikia.
Wakati mwingine wamekuwa wakienda uganda na rwanda kwa ndugu zao.

vip ulifanikiwa mimi nipo jirani kabisa na mwanae aziz
 
Kwani wewe ni nani unayetutafuta? Na je unatutafuta kwa nia gani? Jieleze tafadhali ili tuweze kukusaidia jinsi kuwasiliana na familia yetu.
 
Alikuwa anaitwa ABDARA JAFARI bintiyake mwingine anaitwa AMINA ninaifahamu hiyo familia na nimajiranizangu ni pm utoe maelezo ya kina nikusaidie mi niko B/MLO
 
Back
Top Bottom