CAPABLE GOD
JF-Expert Member
- Dec 5, 2020
- 258
- 278
Panda panda kidogo mkuuIngekuwa 100k ningejaa.....
Ok boss, karibu tena siku nyingine.....thanksMia mwisho
Mkuu, naweza jua upo wapiChukua 150K
Naomba tuwasiliane 0622506787Chukua 150K
Nope boss, haitumii umeme...ya kawaida tu....karibuInatumia umeme
Za umeme mtindo/ muundo huo(ambazo ni baiskeli pure, haifanani kama kipikipiki) bei zake zimechangamka[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2377368View attachment 2377369View attachment 2377370View attachment 2377371View attachment 2377372Inatumia umeme
Hiz ni za kuagiza mkuuZa umeme mtindo/ muundo huo(ambazo ni baiskeli pure, haifanani kama kipikipiki) bei zake zimechangamka[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2377368View attachment 2377369View attachment 2377370View attachment 2377371View attachment 2377372View attachment 2377375View attachment 2377374View attachment 2377373
Nipo Tanga mkuuMkuu, naweza jua upo wapi
Ok boss, naomba tuwasiliane #0622506787 ili tuyajengeNipo Tanga mkuu
Mkuu, fanya moyo unachopenda, cha msingi ni kwamba si dhambi, ukisikiliza vya watu, kuna siku watakuambia usilale na mke wako mkuu.Nina baiskeli kama hiyo huwa nikiiendesha watu wananidiss wananiambia eti ni baiskeli ya watoto[emoji848]