Bikira ndo inakuwa hivi??????????

Mikiki mikiki ya maisha imetubadilisha sana sasa, kitoto kidogo kina ndevu na matiti makubwa, so ishu ya hymen kutolewa kwenye hiyo mikiki usishangae, lakini ujue pia hata wachina wanaweza kuchakachua hapo--lol--
 
Mimi sijawahi na sijui,maana wote nnaokutana nao mhh!sisemi!thus siijui huwa kuna damu au vp.
 
Mkuu hiyo ni kawaida na huwa inatokea, usiwasikilize hao wanaoeleza vitu kwa mazoea.....
Cheki na data za Dr Riwa!
 
mwambie akanunue itoe upya si unataka itoke damu acha ubwege ww
:A S 465:
 
hi JF-MMU. hivi binti/mwanamke anaweza akaduu kwa siku ya kwanza(bikiriwa) na asitoe damu?..........nisaidieni maana kna binti mmoja aliniambia ni bikira ila tulivyo duu nae hata sikuona damu.

Umeingia choo cha kike! Imekula kwako hapo mkuu, umeibiwa!
 
kama iliingia kilaiiiiniiiii...... iimekula kwako!""""""""

ile kwake kwani bikira ilikuwa yake au ya binti??. ivi yeye huyu mwanaume anadhani mwanaume anayeona mabinti ni yeye peke yake?.
tusiumize vichwa kuwaza bikira ikiwa sisi wenyewe hatuna usafi unaofanana na bikira
 
"Kekundu kekunduuu wajinga ndio waliwaooooo wajinga ndio waliwaoo kulitokea kijana m1 akaenda guest na msichana mdogo under 18 nae dogo akamwambia kwamba yeye ajaguswa basi jamaa kuingiza kitu hakuona damu kekundu kekunduuuu wajinga ndio waliwao"
 
"kekundu kekunduuu wajinga ndio waliwaooooo wajinga ndio waliwaoo kulitokea kijana m1 akaenda guest na msichana mdogo under 18 nae dogo akamwambia kwamba yeye ajaguswa basi jamaa kuingiza kitu hakuona damu kekundu kekunduuuu wajinga ndio waliwao"

nimeipenda hii remix
 
hi JF-MMU. hivi binti/mwanamke anaweza akaduu kwa siku ya kwanza(bikiriwa) na asitoe damu?..........nisaidieni maana kna binti mmoja aliniambia ni bikira ila tulivyo duu nae hata sikuona damu.

Ukisikia paaa.. ujue..
 
Mkuu ulitaka kupiga nayo picha nini?..kama muhusika alikuambia yeye ni bikira( kwa maana ya kuwa hajawai kukutana na mwanamme) na wewe ukamuamini basi endelea kuamini wewe ndio wa kwanza kwake na acha kukalili kwa kusikiliza stori za vijiweni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…