Bikira wa Kisukuma azusha Patcho Mwamba kafumaniwa

Pole patcho kwa masahibu yaliokukuta
Lkn ingekuwa vyema ukasema ni aina gani ya bia ulioitumia

castle lite inayopendwa na madem ndo maana wakamfanyia kitendo km wanachofanywa madoo
 
Niambie anaishi wapi ili nikaitoe bikira yake
 
Duh watu walivyotiririka kwenye uzi ulee dah aibu naona mimi !
 
Haaaa le mnazi le big tshirt alimkomesha huyu mpenda umaarufu mavi...


bikira wa kisukuma ni meneja uhusiano wa diamond,ndo yule alichat na profesa wa chuo kikuu kuulizia doctorate ya Diamond,na pia ni maarufu kwa kudhulumiwa na le mutuz
 
Pole yake ila jaman tupunguze kuzusha haswaa hawa mastaa ----- wana hiyo tabia
 
Siyo wote mbumbumbu humu! Uvimbe wa allergy tunaufahamu vizuri sana!! Huo uvimbe wa Mwamba siyo allergy, ni wa kipigo!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…