Bikira wa miaka 70 anatafuta mchumba, adai yuko tayari kuolewa

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Mwanamke huyo raia wa Congo, alieleza kuwa alijitolea maisha yake yote kuwalea ndugu zake na sasa yuko tayari kuolewa iwapo atapata mwanaume.

Akizungumza katika mahojiano na AfriMax, alisema: "Kilichofanya asiolewe ni kwa sababu sijapata mwanaume anayenifaa. Lakini nilipokuwa bado msichana mdogo, wanaume kadhaa walikuwa wakinifuata.

Nilichumbiana na watu kadhaa lakini nilikataa kuolewa kabla ya ndugu zangu kuhitimu kwa sababu Mimi ndiye nilikuwa nikiwatunza."

Chanzo: AfriMax
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…