Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Amemaanisha ukishagundua wamekuchapia mkeo wewe furahia tu mshukuru aliekuchapia mkeo maana bikra haina QR Code yaan haukumkuta na bikra wahuni walishaga mkwangua kitambo sana wewe umekuta kashabanduliwa enzi na enzi, au hapo pia bado haujaelewa?Duuuh hata sielewi umeandika nn sijui nna njaa khaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Oooh hapo sawaa ndo nimeelewa sasa.Amemaanisha ukishagundua wamekuchapia mkeo wewe furahia tu mshukuru aliekuchapia mkeo maana bikra haina QR Code yaan haukumkuta na bikra wahuni walishaga mkwangua kitambo sana wewe umekuta kashabanduliwa enzi na enzi, au hapo pia bado haujaelewa?
Hakika nimeibana sana, kuna Uzi mpya nimeweka ushuhuda wangu wa kuchapiwa.Watakao kuelewa hapa ni wachache mnoo.
Nimeusoma, nikawaza kichizi, hawa viumbe sijui wana akili gani?Hakika nimeibana sana, kuna Uzi mpya nimeweka ushuhuda wangu wa kuchapiwa.
Huyo sio Mh wa Kibaha kwelDuuuh hata sielewi umeandika nn sijui nna njaa khaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yupiiii??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo sio Mh wa Kibaha kwel
Mbona mwandiko wake kabisa huu [emoji3][emoji3][emoji3]
Nikki wa pili [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yupiiii??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]