Bila haya huyu dada amenichana nikatamani dunia inimeze

Mkuu mbona lipo wazi huyo dada alikuwa kazini hapo aliona umezubaa sana akaamua akuforce ununue bidhaa na bado hukuelewa somo.
 
Vipi ana mapaja mazuri ,ulishindwaje hata kufanya udukuzi tupate kapicha ka kusindikizia uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…