Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
-
- #21
Mh mkuu huo ulikuwa mtego tu.wengine wanapenda kutuumiza tu moyo. Pole mkuu .Sasa kazi ilifanyika kweli ofisini?
Sent using Jamii Forums mobile app
dem alikuelewa akaamua kusaula ujiongeze bt ukawa mpiga chabo, ama kweli mwenye bahati habahatiki
Kabisa huyu dada kama si watu kuingilia angenibaka.... Wadada wengine hatari....mpka mwanaume unajikunyata hivi...ila lidada lizuri...sema libabe.
Ifanyike wapi?nawaza lile bumunda, nawaza maneno yake kuwa nataka kumah... Nikasema ngesema ndiyo.... Nimelaani sana
Mkuu mbona lipo wazi huyo dada alikuwa kazini hapo aliona umezubaa sana akaamua akuforce ununue bidhaa na bado hukuelewa somo.
Trust me ungekuja kutoa ushuhuda wa kula tunda kimasihara.Ushamba mzigo. Kumbe ngekuwa mjanja ngekula bumunda
Usiombe yakukute ndugu yangu....utatamani ardhi ipasuke ikumeze...