Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,301
- 8,706
Unafiki ni sanaa muhimu sana katika maisha, rafiki yangu aliwahi kuniambia MAISHA BILA UNAFIKI HAYAENDI, nilimuona mjinga na mshamba na limbukeni mkubwa. Ila kwa sasa nimerealize kweli maisha bila unafiki hayaendi.
Kila binadamu ni mnafiki japo tunatofautiana level za unafiki.
Kama hii sanaa hauna anza kujifunza, utakuja kunishukuru.
Unafiki unalipa.
Kila binadamu ni mnafiki japo tunatofautiana level za unafiki.
Kama hii sanaa hauna anza kujifunza, utakuja kunishukuru.
Unafiki unalipa.