Unafiki kujifanya rafiki ilihali ni adui. Kusema hili ilihali silo lililomoyoni.
Kwangu unafiki hapana... Unafiki nitakaokufanyia ni kukubaliana na usemacho pale nitakapoona hautaki kukubaliana na usemacho ili kurpusha mengi. Na huu sio unafiki ila ni kukubali tofauti za wengine.
Dini zinakata unafiki....kama unajua unaufanya unafiki ni vyema ukaacha.
Jifunze unafiki Mkuu