BILA KUEGEMEA UPANDE WOWOTE NIMEAFIKIANA HAYA KWENYE SWALA LA BANDARI

BILA KUEGEMEA UPANDE WOWOTE NIMEAFIKIANA HAYA KWENYE SWALA LA BANDARI

BIG THINKER

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2018
Posts
680
Reaction score
1,436
Nimekuwa mfatiliaji mzuri wa hili sakata la bandari, nimewasikiliza wanaopinga na wanaounga mkono swala hili, bila KUEGEMEA upande wowote nimekuja na haya yafuatayo;


1)Huu msuguano wa bandari unaoendelea nyuma yake Kuna masilahi ya watu yanatetewa.


2) Propaganda nyingi zinazopigwa ni za watu kutengenezwa, na kulipwa pesa nying Ili kuwa upande frani wa hili swala.


3)Usipokuwa makin unaweza ukawa mpiga kelele kwa faida ya watu wengine wenye maslahi makubwa na hili jambo bila wewe kujitambua.


Maswali chochezi

1/ kwann hadi Sasa rais hajalizungumzia hili swala kwa mapana yake Ili Kuondoa nsitofahamu kwa wananchi!?



2/Kwann watu wanaofahamika wanakona nying ila wako nyuma ya SERIKALI swala hili wanalipinga kupitia watu wengine!?


3/ kwann upinzani kwa ujumla wake ndiyo wako mbele kwenye KUPINGA swala hili!?


4/Nan alivujisha mikataba!? Na kwa masrahi ya Nan!?




Mwisho wa part .......


Muda SI muda nakuja kuendea na part 2 nikijib swal Moja baada ya jingine mwisho nitatoa msimamo wangu binafsi kwenye hili swala.


Like nying zitanifanya niwah kwa mwendelezo wa huu uzi
 
Nimekuwa mfatiliaji mzuri wa hili sakata na bandari, nimewasikiliza wanaopinga na wanaounga mkono swala hili bila KUEGEMEA upande wowote nimekuja na haya yafuatayo;


1)Huu msuguano wa bandari unaoendelea nyuma yake Kuna masilahi ya watu yanatetewa.


2) Propaganda nyingi zinazopigwa ni za watu kutengenezwa, na kulipwa pesa nying Ili kuwa upande frani wa hili swala.


3)Usipokuwa makin unaweza ukawa mpiga kelele kwa faida ya watu wengine wenye maslahi makubwa na hili jambo bila wewe kujitambua.


Maswali chochezi

1/ kwann hadi Sasa rais hajalizungumzia hili swala kwa mapana yake Ili Kuondoa nsitofahamu kwa wananchi!?



2/Kwann watu wanaofahamika wanakona nying ila wako nyuma ya SERIKALI swala hili wanalipinga kupitia watu wengine!?


3/ kwann upinzani kwa ujumla wake ndiyo wako mbele kwenye KUPINGA swala hili!?


4/Nan alivujisha mikataba!? Na kwa masrahi ya Nan!?




Mwisho wa part .......


Muda SI muda nakuja kuendea na part 2 nikijib swal Moja baada ya jingine mwisho nitatoa msimamo wangu binafsi kwenye hili swala.


Like nying zitanifanya niwah kwa mwendelezo wa huu uzi
Huu uzi wa kipuuuzi tu.
Hujamaliza utafiti unaanza kuandika, si usubiri ukamilishe utafiti?

Part nyingine kwani hii ni hadithi ya kusadikika?
 
Huu uzi wa kipuuuzi tu.
Hujamaliza utafiti unaanza kuandika, si usubiri ukamilishe utafiti?

Part nyingine kwani hii ni hadithi ya kusadikika?
Afu anaomba apate LIKES nyingi ili aendelee na Part 2.
 
1687836147855.png
 
Nimekuwa mfatiliaji mzuri wa hili sakata la bandari, nimewasikiliza wanaopinga na wanaounga mkono swala hili, bila KUEGEMEA upande wowote nimekuja na haya yafuatayo;


1)Huu msuguano wa bandari unaoendelea nyuma yake Kuna masilahi ya watu yanatetewa.


2) Propaganda nyingi zinazopigwa ni za watu kutengenezwa, na kulipwa pesa nying Ili kuwa upande frani wa hili swala.


3)Usipokuwa makin unaweza ukawa mpiga kelele kwa faida ya watu wengine wenye maslahi makubwa na hili jambo bila wewe kujitambua.


Maswali chochezi

1/ kwann hadi Sasa rais hajalizungumzia hili swala kwa mapana yake Ili Kuondoa nsitofahamu kwa wananchi!?



2/Kwann watu wanaofahamika wanakona nying ila wako nyuma ya SERIKALI swala hili wanalipinga kupitia watu wengine!?


3/ kwann upinzani kwa ujumla wake ndiyo wako mbele kwenye KUPINGA swala hili!?


4/Nan alivujisha mikataba!? Na kwa masrahi ya Nan!?




Mwisho wa part .......


Muda SI muda nakuja kuendea na part 2 nikijib swal Moja baada ya jingine mwisho nitatoa msimamo wangu binafsi kwenye hili swala.


Like nying zitanifanya niwah kwa mwendelezo wa huu uzi

Sina imani na mtu asiyejua tofauti ya:-

Mfatiliaji na mfuatiliaji.

Swala na suala.

Masilahi na maslahi.

Nying na nyingi.

Frani na fulani.

Makin na makini.

Kwann na kwa nini.

Masrahi na masilahi.

Nikijib na nikijibu.

Swal na swali.

Mnatuharibia lugha yetu.
 
Sina imani na mtu asiyejua tofauti ya:-

Mfatiliaji na mfuatiliaji.

Swala na suala.

Masilahi na maslahi.

Nying na nyingi.

Frani na fulani.

Makin na makini.

Kwann na kwa nini.

Masrahi na masilahi.

Nikijib na nikijibu.

Swal na swali.

Mnatuharibia lugha yetu.
Kiranga tulia, kujua kwako kiswahili kumekusaidia nn ?? Mimi napambana kutafuta Hela kwenye rugha najifuza lugha za maaana kama kifaransa,kichina, na kirusi tena kuongea tu Sasa wewe endelea kukomalia kiswahili CHAKO wakati kwenye account huna hata million 150.


Tafuta pesa kaka, lugha ya kiswahili haitakufikisha popote Zaid ya kupigana majungu tu na waswahili wenzako.
 
Kiranga tulia, kujua kwako kiswahili kumekusaidia nn ?? Mimi napambana kutafuta Hela kwenye rugha najifuza lugha za maaana kama kifaransa,kichina, na kirusi tena kuongea tu Sasa wewe endelea kukomalia kiswahili CHAKO wakati kwenye account huna hata million 150.


Tafuta pesa kaka, lugha ya kiswahili haitakufikisha popote Zaid ya kupigana majungu tu na waswahili wenzako.
Wewe Big Thinker gani hujui hata herufi za lugha yako?

Big Thinker mawazo yako yanaisha kwenye "tafuta pesa"?
 
Wewe Big Thinker gani hujui hata herufi za lugha yako?

Big Thinker mawazo yako yanaisha kwenye "tafuta pesa"?
Mimi ni big thinker wa idea za kupata pesa
Siyo wa kiswahili.


Hata hivyo tuombe uzima na itapendeza ukiwa age sawa na Mimi tutafitane tukifikia Miaka 50 wewe uwe vizur sana kwenye kiswahili harafu mm niwe vizur kwenye account tuone Nan anamaana kwenye uzee wake.
 
Mimi ni big thinker wa idea za kupata pesa
Siyo wa kiswahili.


Hata hivyo tuombe uzima na itapendeza ukiwa age sawa na Mimi tutafitane tukifikia Miaka 50 wewe uwe vizur sana kwenye kiswahili harafu mm niwe vizur kwenye account tuone Nan anamaana kwenye uzee wake.
Matatizo ya pesa ni mambo ya gharama tu, so kitu cha kumu occupy big thinker.

Sema wewe masikini, ndiyo maana unaona pesa ndiyo kila kitu.

Masikini ngumbaru.
 
Back
Top Bottom