The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Wala wstanzania siyo Mbumbu, Rushwa pia siyo Tatizo, kwa sababu rushwa unaweza ukapokea na ukafanya yako, Vyombo vya dola wala havina makosa yoyote wanatimiza wajibu wao kutokana na mfumo wa sheria uliopo kwa sasa. Tatizo ni moja tu, katiba tu, huwezi ukashiriki uchaguzi wakati wasimamizi wote ni waajiriwa wa mwenyekiti wa chama mnachoshindana nacho, mimi ni washauri wapinzani wala wasitumie nguvu nyingi kudefend huu uchaguzi bali waweke nguvu nyingi kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Wakewekeza nguvu nyingi kwenye huu uchaguzi wakiini macho watakosa watu wakupigania katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, mimi mwenyewe sitapiga kura tena kwa katiba hii na tume hii afadhali nijilie ugali wangu na maharage kuliko kufanywa mjinga na mimi nikubali. Afadhali ata uchaguzi wa chama kimojavunashamra shamra kuliko huu. Siamini kuwa hivi vitu vinatokea bahati mbaya la hasha hatahao tunao waweka mbele wala si waaminifu wananchi kama wananchi wenyewe wanatakiwa wachukue hatua, je ni njia gani, mimi sijui ila naamini hsta kama njia ni nyembamba na imesonga basi ndiyo hiyo hiyo tupite lasivyo tukubaliane na hali halisi, kwasabu miongozo ikishatolewa juu huku chini ni kutekeleza tu, tunaweza tukawaonea watendaji na wasimamizi wasaidizi lakini wao watafanya nini na ni waajiriwa waseikali wataacha kumtii bosi wao wamsikilize Mbowe na Tundulisi. Tunapaswa tupiganie Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi hata kama watu watapotezwa kama wakina Ali, kibao nawakina soka lakini mapambano yakiendelea watasurender tuUchaguzi utakaoiondoa CCM.madarakani wa njia ya electronic tena live streaming.
Tofauti na hapo tuendelee kuongozwa kama ng'ombe au kondoo.
Silaha za CCM.kwenye chaguzi ni.
1. Rushwa kila.mahali hadi kwenye nyumba za ibada
2. Vyombo vya dola kutumika vibaya
3. Umbumbumbu wa TZ.
Umenena kaka. Ila ukweli ni shida ya karne kuishinda ccmWala wstanzania siyo Mbumbu, Rushwa pia siyo Tatizo, kwa sababu rushwa unaweza ukapokea na ukafanya yako, Vyombo vya dola wala havina makosa yoyote wanatimiza wajibu wao kutokana na mfumo wa sheria uliopo kwa sasa. Tatizo ni moja tu, katiba tu, huwezi ukashiriki uchaguzi wakati wasimamizi wote ni waajiriwa wa mwenyekiti wa chama mnachoshindana nacho, mimi ni washauri wapinzani wala wasitumie nguvu nyingi kudefend huu uchaguzi bali waweke nguvu nyingi kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Wakewekeza nguvu nyingi kwenye huu uchaguzi wakiini macho watakosa watu wakupigania katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, mimi mwenyewe sitapiga kura tena kwa katiba hii na tume hii afadhali nijilie ugali wangu na maharage kuliko kufanywa mjinga na mimi nikubali. Afadhali ata uchaguzi wa chama kimojavunashamra shamra kuliko huu. Siamini kuwa hivi vitu vinatokea bahati mbaya la hasha hatahao tunao waweka mbele wala si waaminifu wananchi kama wananchi wenyewe wanatakiwa wachukue hatua, je ni njia gani, mimi sijui ila naamini hsta kama njia ni nyembamba na imesonga basi ndiyo hiyo hiyo tupite lasivyo tukubaliane na hali halisi, kwasabu miongozo ikishatolewa juu huku chini ni kutekeleza tu, tunaweza tukawaonea watendaji na wasimamizi wasaidizi lakini wao watafanya nini na ni waajiriwa waseikali wataacha kumtii bosi wao wamsikilize Mbowe na Tundulisi. Tunapaswa tupiganie Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi hata kama watu watapotezwa kama wakina Ali, kibao nawakina soka lakini mapambano yakiendelea watasurender tu
Tusingekuwa mbumbumbu hiyo.katiba mpya ingekuwa ishapatikana zamani.sana. Raisi wenu anasema katiba ni kijitabu tu afu mnamchekeleaWala wstanzania siyo Mbumbu, Rushwa pia siyo Tatizo, kwa sababu rushwa unaweza ukapokea na ukafanya yako, Vyombo vya dola wala havina makosa yoyote wanatimiza wajibu wao kutokana na mfumo wa sheria uliopo kwa sasa. Tatizo ni moja tu, katiba tu, huwezi ukashiriki uchaguzi wakati wasimamizi wote ni waajiriwa wa mwenyekiti wa chama mnachoshindana nacho, mimi ni washauri wapinzani wala wasitumie nguvu nyingi kudefend huu uchaguzi bali waweke nguvu nyingi kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Wakewekeza nguvu nyingi kwenye huu uchaguzi wakiini macho watakosa watu wakupigania katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, mimi mwenyewe sitapiga kura tena kwa katiba hii na tume hii afadhali nijilie ugali wangu na maharage kuliko kufanywa mjinga na mimi nikubali. Afadhali ata uchaguzi wa chama kimojavunashamra shamra kuliko huu. Siamini kuwa hivi vitu vinatokea bahati mbaya la hasha hatahao tunao waweka mbele wala si waaminifu wananchi kama wananchi wenyewe wanatakiwa wachukue hatua, je ni njia gani, mimi sijui ila naamini hsta kama njia ni nyembamba na imesonga basi ndiyo hiyo hiyo tupite lasivyo tukubaliane na hali halisi, kwasabu miongozo ikishatolewa juu huku chini ni kutekeleza tu, tunaweza tukawaonea watendaji na wasimamizi wasaidizi lakini wao watafanya nini na ni waajiriwa waseikali wataacha kumtii bosi wao wamsikilize Mbowe na Tundulisi. Tunapaswa tupiganie Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi hata kama watu watapotezwa kama wakina Ali, kibao nawakina soka lakini mapambano yakiendelea watasurender tu
La 3 ndo zaidi.Uchaguzi utakaoiondoa CCM.madarakani wa njia ya electronic tena live streaming.
Tofauti na hapo tuendelee kuongozwa kama ng'ombe au kondoo.
Silaha za CCM.kwenye chaguzi ni.
1. Rushwa kila.mahali hadi kwenye nyumba za ibada
2. Vyombo vya dola kutumika vibaya
3. Umbumbumbu wa TZ.
SureUchaguzi utakaoiondoa CCM.madarakani wa njia ya electronic tena live streaming.
Tofauti na hapo tuendelee kuongozwa kama ng'ombe au kondoo.
Silaha za CCM.kwenye chaguzi ni.
1. Rushwa kila.mahali hadi kwenye nyumba za ibada
2. Vyombo vya dola kutumika vibaya
3. Umbumbumbu wa TZ.
Mbona huku tumeanza kuwatoa madarakani? Tena ni wepesi kama pambaUchaguzi utakaoiondoa CCM.madarakani wa njia ya electronic tena live streaming.
Tofauti na hapo tuendelee kuongozwa kama ng'ombe au kondoo.
Silaha za CCM.kwenye chaguzi ni.
1. Rushwa kila.mahali hadi kwenye nyumba za ibada
2. Vyombo vya dola kutumika vibaya
3. Umbumbumbu wa TZ.
Delila 🤣Yale maridhiano ilikuwa UPUUZI MTUPU.
Viongozi wa upinzani waturudishe kwenye aagenda yetu muhimu, KUANZIA SASA YAITISHWE MAANDAMANO YASIYO NA KIKOMO NCHI NZIMA KUDAI KATIBA MPYA.
Huwezi kuishinda ccm katika mazingira haya kwanza wanakata wagombea waupinzani 70% utaweza kushindana na mtu wa namna hiyo, najua wapinzani wameingia tuu kwenye huu uchaguzi ili kuonyesha madudu yanayo fanyika kwenye uchaguzi huu. Ila si kwa ajili yakushindanaUmenena kaka. Ila ukweli ni shida ya karne kuishinda ccm
Ndugu zangu nchi hii sasa tumebakia na kete mbili zilizo kuu ili tuondokane na vitisho na uongozi wa kidhalimu wa CCM chini ya SAMIA Suluhu Hassan ,kete ya kwanza ni ss wananchi kuamua kuandamana nchi nzima non stop kujitetea wenyewe dhidi ya mateso ya kutekwa na kuuawa kwa ndugu zetu mbalimbali.Kete ya pili ni JESHI la WANANCHI wa TANZANIA kama linavyofahamika kuchukua mamlaka kwa niaba ya wananchi kama kweli jeshi hili ni lao na liko kwa ajili ya wananchi.Mauaji yanayoendelea sasa naamin ni zaidi ya awamu zote zilizowahi kupita kuongoza Taifa hili.Kete hz mbili yoyote inaweza kuanza bila kusubiri nyingine kwa lengo la kuponya Taifa.Anayeshabikia watu kutekwa ,kuteswa na kuuawa ni kwa sababu hana upendo na uzalendo kwa watanzania wenzake.Majeshi ya wananchi kama ya Burkina faso,Mali na kwingineko yalipoona siasa chafu zinazonuka kama mavi zikiendeshwa ndani ya nchi zao majeshi hayo yaliingilia Kati ya kuwafurusha wanasiasa washenzi na wapumbavu wasio na Akili wanaohujumu nchi zao.JESHI letu linasemwa na kusifiwa kuwa lina weledi,nidhamu na maadili ya hali ya juu kabisa,Sasa SWALI la msingi linawezaje kuwa na sifa zote hizo Alafu linavumilia wananchi wake wakiteseka,je sifa hizi kea jeshi letu ni za kweli?.Kama nchi ni lazm tuache usanii na tujitafakari kwa kina na mapana.Uchaguzi utakaoiondoa CCM.madarakani wa njia ya electronic tena live streaming.
Tofauti na hapo tuendelee kuongozwa kama ng'ombe au kondoo.
Silaha za CCM.kwenye chaguzi ni.
1. Rushwa kila.mahali hadi kwenye nyumba za ibada
2. Vyombo vya dola kutumika vibaya
3. Umbumbumbu wa TZ.
Hakuna.jeshi la kufanya hi vyo TZ wanaposho nono na marupurupu kibao. Nimesema CCM nahonga hela hadi yenyewe kwa yenyewe inajihonga kunyamaziisha wenye vidomodomo kama polepole, watumishi kimyaa viiongoozi wamemezwa mihela hawana la kusema.Ndugu zangu nchi hii sasa tumebakia na kete mbili zilizo kuu ili tuondokane na vitisho na uongozi wa kidhalimu wa CCM chini ya SAMIA Suluhu Hassan ,kete ya kwanza ni ss wananchi kuamua kuandamana nchi nzima non stop kujitetea wenyewe dhidi ya mateso ya kutekwa na kuuawa kwa ndugu zetu mbalimbali.Kete ya pili ni JESHI la WANANCHI wa TANZANIA kama linavyofahamika kuchukua mamlaka kwa niaba ya wananchi kama kweli jeshi hili ni lao na liko kwa ajili ya wananchi.Mauaji yanayoendelea sasa naamin ni zaidi ya awamu zote zilizowahi kupita kuongoza Taifa hili.Kete hz mbili yoyote inaweza kuanza bila kusubiri nyingine kwa lengo la kuponya Taifa.Anayeshabikia watu kutekwa ,kuteswa na kuuawa ni kwa sababu hana upendo na uzalendo kwa watanzania wenzake.Majeshi ya wananchi kama ya Burkina faso,Mali na kwingineko yalipoona siasa chafu zinazonuka kama mavi zikiendeshwa ndani ya nchi zao majeshi hayo yaliingilia Kati ya kuwafurusha wanasiasa washenzi na wapumbavu wasio na Akili wanaohujumu nchi zao.JESHI letu linasemwa na kusifiwa kuwa lina weledi,nidhamu na maadili ya hali ya juu kabisa,Sasa SWALI la msingi linawezaje kuwa na sifa zote hizo Alafu linavumilia wananchi wake wakiteseka,je sifa hizi kea jeshi letu ni za kweli?.Kama nchi ni lazm tuache usanii na tujitafakari kwa kina na mapana.