Bila mzungu tunaemlalamikia ni mbaguzi waafrika tungekuwa na hali ngumu sana, biashara ya utumwa ingeendelea, tungebaguliwa zaidi

Bila mzungu tunaemlalamikia ni mbaguzi waafrika tungekuwa na hali ngumu sana, biashara ya utumwa ingeendelea, tungebaguliwa zaidi

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Ukitaka kuamini haya angalia mpaka leo waafrika wanakimbilia zaidi nchi zipi bila kuhofia hata dini au rangi zao ? wanapewa zaidi misaada ukiachana na mikopo na nchi zipi ? kwanini mwafrika wanapenda zaidi kufanya kazi kwa wazungu?

Africa hata kuwa na nchi zake baada ya ukoloni ni kama muujiza

UTUMWA
Utumwa upo tangu zamani kabla ukinza kwetu sisi kwa sisi waafrika mfano wakinga walitumikishwa kwa muda mrefu tu na hapo baadae nao wakinga walitumikisha wasafwa baadhi ya maeneo, Waarabu nao walikuja kututumikisha hawa walikuwa katili zaidi walihasi wanaume wanaoenda uarabuni ndio maana ni nadra sana kukuta mabaki ya watumwa waafrika huko, Wakaja wazungu waliotutumikisha lakini walileta mapinduzi makubwa ya haki na kutokomeza utumwa, ndio walioanza harakati za haki za watumwa mfano hawakuhasi wanaume ndio mana hadi leo nchi kama Marekani kuna mabaki, waliweza kuelimisha, kuwaajiri kazi za kitaaluma na baadae kutokomeza biashara uaya utumwa na kukubali nchi za Afrika ziwe huru mfano kwa hapa Tanzania uhuru ulipatikana kistaarabu kwa amani kabisa

Biashara ya utumwa ingeendelea mpaka sasa, waarabu ilikuwa ngumu sana kuwashinikiza waiache ndio maana hadi sasa ukienda nchi kama libya bado ipo, hata huko uarabuni tunasikia visa kibao vya wabongo kunyanyaswa kama watumwa hasa wale wa kazi za ndani, na hapa kwetu nako hali si tofauti sana kumekuwa na malalamiko ya mishahara kiduchu msuli tembo na kunyanyaswa kwenye viwanda cya waarabu, wahindi, n.k. kuna kesi kibao za unyanyasaji.

UBAGUZI
Kwenye ubaguzi nchi zilizo mstari wa mbele kukemea na hata waafrika kuwa huru ni za wazungu mfano Marekani na nchi za ulaya humpa kipaumbele kwenye ajira mtu mweusi lakini nchi za uarabuni, india, china, n.k. uubaguzi upo lakini nguvu kudogo sana ya kukemea.
 
FB_IMG_1708264219039.jpg
 
Unataka kusemaje? Kwamba wazungu hawa hawa waliotumikisha wazee wetu kwenye mashamba, viwanda, kuchukua rasilimali zetu n.k ndio useme wao ndio waliufuta utumwa??? Unajua vita ya kukomesha utumwa ilikuaje??? Na bado unaamini hata utumwa wenyewe umeisha Sasa?? You must be kidding me.

Nani alikwambia mzungu anakupenda wewe??? Amkaaa!
 
Hujui hata kidogo

Huyo mzungu unayemtetea hapa ndiye alikua mteja wa kununua watumwa.

Destination ya ndugu zetu waliokua wakichukuliwa Afrika ilikua ni either south america, north america na europe kwa mbali.

Kwa hiyo huna haki ya kuwatetea wazungu katika hili sanasana inatakiwa watulipe fidia ikiwemo kutusamehe madeni ya mikopo kwani wao ndio wametusababishia umasikini huu kwa kuwachukua ndugu zetu ambao walikua ni nguvukazi katika jamii zetu.
 
Unataka kusemaje? Kwamba wazungu hawa hawa waliotumikisha wazee wetu kwenye mashamba, viwanda, kuchukua rasilimali zetu n.k ndio useme wao ndio waliufuta utumwa??? Unajua vita ya kukomesha utumwa ilikuaje??? Na bado unaamini hata utumwa wenyewe umeisha Sasa?? You must be kidding me.

Nani alikwambia mzungu anakupenda wewe??? Amkaaa!
Hajawahi kuishi na hawa watu zaidi ya kuwaona kwenye televisheni.
 
Unataka kusemaje? Kwamba wazungu hawa hawa waliotumikisha wazee wetu kwenye mashamba, viwanda, kuchukua rasilimali zetu n.k ndio useme wao ndio waliufuta utumwa??? Unajua vita ya kukomesha utumwa ilikuaje??? Na bado unaamini hata utumwa wenyewe umeisha Sasa?? You must be kidding me.

Nani alikwambia mzungu anakupenda wewe??? Amkaaa!
Na chengine ambacho ndugu yetu hakijui ni kwamba,wanunuaji wakubwa wa watumwa kutoka afrika walikuwa wazungu.

Mfano marekani kwenyewe,Brazili,Jamaica,Haiti, na nchi zote za carrebian. Halafu Leo unakuja kutwambia hawawabagui waafrika?! Kweli mapenzi ni kipofu.
 
Unataka kusemaje? Kwamba wazungu hawa hawa waliotumikisha wazee wetu kwenye mashamba, viwanda, kuchukua rasilimali zetu n.k ndio useme wao ndio waliufuta utumwa?...
Utumwa upo tangu zamani tukianza sisi kwa sisi waafrika kabla hawajaja waarabu na wazungu

Sisi kwa sisi waafrika kulikuwa na utumwa, mfano wakinga walitumikishwa sana, ni hapo baadae wakakimbilia milima ya makete

Waarabu walikuja kututumikisha na walikuwa katili mno.

Wakaja wazungu waliotutumikisha lakini walikuwa na nafuu waliweza kutuelimisha, kuruhusu maandamano, kulipa mishahara na baadae kutupa uhuru mfano kwa hapa Tanzania uhuru ulipatikana kistaarabu kwa amani kabisa
 
Unataka kusemaje? Kwamba wazungu hawa hawa waliotumikisha wazee wetu kwenye mashamba, viwanda, kuchukua rasilimali zetu n.k ndio useme wao ndio waliufuta utumwa??? Unajua vita ya kukomesha utumwa ilikuaje??? Na bado unaamini hata utumwa wenyewe umeisha Sasa?? You must be kidding me.

Nani alikwambia mzungu anakupenda wewe??? Amkaaa!
Walio mfundisha kushika ukuta pia
 
Africa hata kuwa na nchi zake baada ya ukoloni ni kama muujiza

Biashara ya utumwa ingeendelea mpaka sasa, waarabu ilikuwa ngumu sana kuwashinikiza waiache ndio maana hadi sasa ukienda nchi kama libya bado ipo, hata huko uarabuni tunasikia...
Hizi akili mgando ndo zimetufikisha hapa, yaa watu wana akili fupi kama kinyesi
 
wazungu waliotutumikisha lakini walikuwa na nafuu waliweza kutuelimisha, kulipa mishahara na baadae kutupa uhuru
What's your point youngfolk??? Alikutumikisha, alikuwa na unafuu??? TF are you trying to convince me, Were they good to you???
 
Africa hata kuwa na nchi zake baada ya ukoloni ni kama muujiza

Biashara ya utumwa ingeendelea mpaka sasa, waarabu ilikuwa ngumu sana kuwashinikiza waiache ndio maana hadi sasa ukienda nchi kama libya bado ipo, hata huko uarabuni tunasikia...
HAYA NDO MAWAZO MGANDO YA VIJANA WA CCM NDO MAANA MMEUZA URITHI WETU
 
Utumwa upo tangu zamani tukianza sisi kwa sisi waafrika kabla hawajaja waarabu na wazungu

Sisi kwa sisi waafrika kulikuwa na utumwa, mfano wakinga walitumikishwa sana, ni hapo baadae wakakimbilia milima ya makete...
Hivi umewahi kisoma au kisikia namna wareno walivyowafanyia ukatili na unyama uliopindukia watu wa afrika mashariki Kwa miaka 200. Hivi umewahi kisoma au kisikia kuhusu mauaji ya kimbari ya Namibia? Waafrika zaidi ya milioni 2 waliuliwa kinyama na wajerumani.

Vipi uliwahi kisikia kuhusu vita vya maji maji na mau mau. Unadhani walikuwa wanapambana na nani?
Hivi umewahi kisoma au kisikia mateso,manyanyaso na madhila waliyopitia watu wa afrika kusini?!
 
Mababu zetu ndio walipenda wenyewe kuchukuliwa utumwani tusiwalaumu waarabu na wazungu
 
Vijana wa siku hizi wengi ni shallow minded sana. Critical thinking hamna, unamsifuje mzungu aliyeitumikisha afrika kibepari for a century plus. Nani kakwambia uhuru walikupa?

Uhuru ulipiganiwa sana tena kwa vifo vingi usichokijua. Afrika kusini ndo mkondo uliisha 1994, kacheki video of that struggle , nguvu yako ww ni huyo mgunya, mnyaturu , mganda , mkenya, mrwanda nk. Yaani yyte mweusi.

Cha mwisho mzungu hakushindi na kitu chochote , uongozi wetu ukinyooka tu chenga yao kwisha , proof angalia China in 30 years walipo
 
Hivi umewahi kisoma au kisikia namna wareno walivyowafanyia ukatili na unyama uliopindukia watu wa afrika mashariki Kwa miaka 200. Hivi umewahi kisoma au kisikia kuhusu mauaji ya kimbari ya Namibia? Waafrika zaidi ya milioni 2 waliuliwa kinyama na wajerumani.
Vipi uliwahi kisikia kuhusu vita vya maji maji na mau mau. Unadhani walikuwa wanapambana na nani?
Hivi umewahi kisoma au kisikia mateso,manyanyaso na madhila waliyopitia watu wa afrika kusini?!
Ndivyo utumwa ulivyo, Hata waarabu walikuwa wanahasi wanaume wanapinga nyundo kende,

Lakini mweisho wa siku wazungu walianza kuwa lenient na kuwa nafuuu zaidi walianza kutoa elimu, kuajiri waafrika ajira za kisomi, kuweza kutupa uhuru, kuruhusu hata kwenye nchi zao wafrika wawe na vyeo vya juu, n.k.

Waarabu na waafrika tulisihindwa kustop utumwa na mpaka leo upo nchi kama Libya watu weusi wanadakwa na waarabu
 
Hivi umewahi kisoma au kisikia namna wareno walivyowafanyia ukatili na unyama uliopindukia watu wa afrika mashariki Kwa miaka 200. Hivi umewahi kisoma au kisikia kuhusu mauaji ya kimbari ya Namibia? Waafrika zaidi ya milioni 2 waliuliwa kinyama na wajerumani.
Vipi uliwahi kisikia kuhusu vita vya maji maji na mau mau. Unadhani walikuwa wanapambana na nani?
Hivi umewahi kisoma au kisikia mateso,manyanyaso na madhila waliyopitia watu wa afrika kusini?!
Mkumbushe na DRC vilevile hiyu jamaa ni mpumbavu
 
Back
Top Bottom