Bila Ronaldo, hakuna mashabiki Real Madrid

Bila Ronaldo, hakuna mashabiki Real Madrid

Je, hili jambo linaweza kupelekea kushuka morali kwa wachezaji na kusababisha timu kufanya vibaya?

  • Ndiyo

  • Hapana


Results are only viewable after voting.

City Of Lies

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
4,925
Reaction score
6,137
Ni mashabiki 48,466 tu waliojitokeza katika dimba la Santiago Bernabeu kushuhudia mechi ya kwanza ya msimu wa La liga kwa upande Madrid.

Mara ya mwisho kupata mahudhurio hafifu ilikuwa ni miaka kumi iliyopita msimu wa 2008-09.

Katika mechi hiyo dhidi ya Getafe, Madrid waliibuka na ushindi wa goli 2-0. Wafumania nyavu walikuwa ni D.Carvajal na G.Bale.
images.jpeg
 
Crazy Kabisa. Mafanikio ya RMA yamekuwepo kwa miongo mingi sana kabla ya Ronaldo.RMA ni timu kubwa sana huwezi kuilinganisha na mtu mmoja. Anway kwa nyie mlionza kushabikia mpira mwaka juzi lazima muwe na mawazo haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa mkuu hapa umejibu nini,si bora ungepga kimya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Crazy Kabisa. Mafanikio ya RMA yamekuwepo kwa miongo mingi sana kabla ya Ronaldo.RMA ni timu kubwa sana huwezi kuilinganisha na mtu mmoja. Anway kwa nyie mlionza kushabikia mpira mwaka juzi lazima muwe na mawazo haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli mchungu lakini Real Madrid bila Ronaldo its not the SAME real Madrid....!! May b its real betis now

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni upepo tu utapita hao mashabiki walitegemea huyo ronaldo acheze mpaka anamiaka 60?? Si walijua kuna mda atasepa tu iwe kwa kuuzwa au kuzeeka. Hao wamenuna tu kama watoto wa kike lakini soon mnuno utaisha watakumbuka kumbe they love footbal more than players...na watarudi tu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni upepo tu utapita hao mashabiki walitegemea huyo ronaldo acheze mpaka anamiaka 60?? Si walijua kuna mda atasepa tu iwe kwa kuuzwa au kuzeeka. Hao wamenuna tu kama watoto wa kike lakini soon mnuno utaisha watakumbuka kumbe they love footbal more than players...na watarudi tu....

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni frustration tu, hii ilitokea miaka 10 iliyopita ktk ile defeat ya game 5 ndio kukawa na low turn out ya fans.
 
Crazy Kabisa. Mafanikio ya RMA yamekuwepo kwa miongo mingi sana kabla ya Ronaldo.RMA ni timu kubwa sana huwezi kuilinganisha na mtu mmoja. Anway kwa nyie mlionza kushabikia mpira mwaka juzi lazima muwe na mawazo haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
RMA bila RONALDO ni kazi bure ,ndo mana imepoteza mafans na itapata tabu Sana ok,ko be careful with your heart.
 
Back
Top Bottom