Bila rushwa wala konenisheni sahau kuhusu uhamisho mfumo ni kiini macho

Bila rushwa wala konenisheni sahau kuhusu uhamisho mfumo ni kiini macho

jiwe angavu

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2015
Posts
20,419
Reaction score
39,217
Suala la uhamisho kwa watumishi wa umma limekua kero kubwa hasa baada ya ujio wa mfumo wa ess,ambapo sasa maombi yote ya uhamisho hufanyika katika mfumo huu.

Tangu kuanza kwake hadi sasa kumekua na malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wanaaomba uhamisho kupitia mfumo,ambapo pamoja na malalamiko hayo hakuna suluhisho ya utatuzi wa malalamiko hayo.

Hali hii imepelekea watumishi wengi wa umma kukata tamaa na wengi kutapeliwa na wengine kuhama kupitia njia za mkato kwamaana ya kutoa rushwa.

Kwa sasa kuhama bila kutoa kitu kidogo(rushwa) ama kuwa na konnekisheni imekua ni suala gumu sana.

Hivyo tunaomba mamlaka za uhamisho zitoe muongozo na bei elekezi kwa watumishi wote walioomba uhamisho ili wafahamu na wasiweze kutapeliwa na vishoka.

Pia nashauri kiwe chanzo cha mapato badala ya fedha hizo rushwa kuingia mifukoni mwa wachache basi ziingie serikalini ziwasaidie wananchi.

Inasiktisha sana kuona familia zinateseka na ndoa kuvunjika,watumishi kufanya kazi wakiwa wamejikatia tamaa kisa kukosa uhamisho ambao ni haki ya mtumishi wa umma.

Mamlaka zinazosimamia suala hili ebu sikilizeni na mtatue changamoto hiii mana watumishi wa umma ndio nguzo ya utendaji kazi wa serikali.
 
Suala la uhamisho kwa watumishi wa umma limekua kero kubwa hasa baada ya ujio wa mfumo wa ess,ambapo sasa maombi yote ya uhamisho hufanyika katika mfumo huu.

Tangu kuanza kwake hadi sasa kumekua na malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wanaaomba uhamisho kupitia mfumo,ambapo pamoja na malalamiko hayo hakuna suluhisho ya utatuzi wa malalamiko hayo.

Hali hii imepelekea watumishi wengi wa umma kukata tamaa na wengi kutapeliwa na wengine kuhama kupitia njia za mkato kwamaana ya kutoa rushwa.

Kwa sasa kuhama bila kutoa kitu kidogo(rushwa) ama kuwa na konnekisheni imekua ni suala gumu sana.

Hivyo tunaomba mamlaka za uhamisho zitoe muongozo na bei elekezi kwa watumishi wote walioomba uhamisho ili wafahamu na wasiweze kutapeliwa na vishoka.

Pia nashauri kiwe chanzo cha mapato badala ya fedha hizo rushwa kuingia mifukoni mwa wachache basi ziingie serikalini ziwasaidie wananchi.

Inasimitisha sana familia zinateseka na ndoa kuvunjika,watumishi kufanya kazi wakiwa wamejikatia tamaa.

Mamlaka zinazosimamia suala hili ebu sikilizeni na mtatue changamoto hiii mana watumishi wa umma ndio nguzo ya utendaji kazi wa serikali.
Kabisa na ukiingia hovyo hovyo unapigwa pia
 
Suala la uhamisho kwa watumishi wa umma limekua kero kubwa hasa baada ya ujio wa mfumo wa ess,ambapo sasa maombi yote ya uhamisho hufanyika katika mfumo huu.

Tangu kuanza kwake hadi sasa kumekua na malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wanaaomba uhamisho kupitia mfumo,ambapo pamoja na malalamiko hayo hakuna suluhisho ya utatuzi wa malalamiko hayo.

Hali hii imepelekea watumishi wengi wa umma kukata tamaa na wengi kutapeliwa na wengine kuhama kupitia njia za mkato kwamaana ya kutoa rushwa.

Kwa sasa kuhama bila kutoa kitu kidogo(rushwa) ama kuwa na konnekisheni imekua ni suala gumu sana.

Hivyo tunaomba mamlaka za uhamisho zitoe muongozo na bei elekezi kwa watumishi wote walioomba uhamisho ili wafahamu na wasiweze kutapeliwa na vishoka.

Pia nashauri kiwe chanzo cha mapato badala ya fedha hizo rushwa kuingia mifukoni mwa wachache basi ziingie serikalini ziwasaidie wananchi.

Inasimitisha sana familia zinateseka na ndoa kuvunjika,watumishi kufanya kazi wakiwa wamejikatia tamaa.

Mamlaka zinazosimamia suala hili ebu sikilizeni na mtatue changamoto hiii mana watumishi wa umma ndio nguzo ya utendaji kazi wa serikali.
 

Attachments

  • image0_0.jpg
    image0_0.jpg
    93 KB · Views: 16
Zamani mulikuwa mnatoa rushwa na mkijitambulisha kilugha mambo yanakuwa murua.
Sasa mmenyooshwa. Ukiona kimya ujue uhamisho wako umegoma. Kama kila mtu atakubaliwa uhamisho wake unadhani hali itakuwaje?
Watumishi wa local government acheni usumbufu
 
Suala la uhamisho kwa watumishi wa umma limekua kero kubwa hasa baada ya ujio wa mfumo wa ess,ambapo sasa maombi yote ya uhamisho hufanyika katika mfumo huu.

Tangu kuanza kwake hadi sasa kumekua na malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wanaaomba uhamisho kupitia mfumo,ambapo pamoja na malalamiko hayo hakuna suluhisho ya utatuzi wa malalamiko hayo.

Hali hii imepelekea watumishi wengi wa umma kukata tamaa na wengi kutapeliwa na wengine kuhama kupitia njia za mkato kwamaana ya kutoa rushwa.

Kwa sasa kuhama bila kutoa kitu kidogo(rushwa) ama kuwa na konnekisheni imekua ni suala gumu sana.

Hivyo tunaomba mamlaka za uhamisho zitoe muongozo na bei elekezi kwa watumishi wote walioomba uhamisho ili wafahamu na wasiweze kutapeliwa na vishoka.

Pia nashauri kiwe chanzo cha mapato badala ya fedha hizo rushwa kuingia mifukoni mwa wachache basi ziingie serikalini ziwasaidie wananchi.

Inasiktisha sana kuona familia zinateseka na ndoa kuvunjika,watumishi kufanya kazi wakiwa wamejikatia tamaa kisa kukosa uhamisho ambao ni haki ya mtumishi wa umma.

Mamlaka zinazosimamia suala hili ebu sikilizeni na mtatue changamoto hiii mana watumishi wa umma ndio nguzo ya utendaji kazi wa serikali.
Kuwa na maugomvi ugomvi mengi na watumishi wenzio hasa wale wa ngazi ya juu na unaa mwingi watakuombea uhamisho wenyewe bila ya kuwalazimisha
 
Kupigwa kupo palepale,ule ni mtaji wa baadhi ya watu kwa hiyo sahau kuhusu hilo,tamisemi wamekaa zao kimya hakuna cha ufafanuzi wala nini.
Ni bora wangetoa utaratibu kwa tamko rasmi ila now wamejawa na viburi tu
 
Back
Top Bottom