Bila Sauti Soul, Ali Kiba si lolote si chochote MTV Awards

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Leo ndio ile siku ambayo Tuzo za MT mama zinatolewa na wasanii kibao washafika south Africa

Interview nyingi zinaendelea huko South Afrika lakini ni ukweli usio Pingika kwa kinacho Endelea Huko Ali kiba bila Sauti Soul si lolote si chochote! Sauti soul wanarudi kwa Mara ya pili katika tuzo hizo kubwa Afrika huku Ali Kiba Akienda kwa Mara ya kwanza kupitia kushirikishwa na Sauti soul katika wimbo wao!

Japo wengi wanasema huo wimbo ni wa sauti Soul na Ali kiba lakini kiukweli wimbo ni Wa sauti soul na Alikiba kashirikishwa tuuuu!!!

Mwisho wa siku tuwatakie Heri watanzania wote wanao wanania tuzo Hizo warudi na Tuzo zao Tanzania

TUkutane Sa 4 usiku leo kupitia MT base tuone show kali itakayo waamsha wote nadhani picha mshaanzaa kuziona!!!! Tuone leo Ali kiba atatumbuizaa baada na kabla ya nanii maana yeye anadai ni msanii mkubwa anastahili kutumbuiza mwishoni!

All the Best Diamond
 
Na wewe nenda kachukue tuzo.

Best hater of the year....... ( danya )
Utaishia hivyo hivyo tu kuponda watu.....
Deal with ur life. Bwoy
 
Mleta mada una ugonjwa mbaya wa chuki bado mnaendeleza utimu wakipuuzi tu Mpaka Leo, timu chai jaba hamtaki wengine wafanikiwe nimeona hata Instagram acheni utoto na mkue kifikra, kiba kufeli hakutamuweka dai juu cku zote
 
Teh mwenzako kashalipwa mamilioni kutumbuiza, wewe sijui umepewa kiasi gani kuandika mashudu
 
Mleta mada una ugonjwa mbaya wa chuki bado mnaendeleza utimu wakipuuzi tu Mpaka Leo, timu chai jaba hamtaki wengine wafanikiwe nimeona hata Instagram acheni utoto na mkue kifikra, kiba kufeli hakutamuweka dai juu cku zote
SAAAFIUIII SANA
 
In case ukiona neno (WASAFI) inayo milikiwa na msanii DIAMOND PLATNUMZ , limetajwa mahali popote wakati wowote barani Africa , tafazali usikaye kimya sema


( INNALILLAH WA INNA-ILLAIHI RAJI-UUN )

kwakuwa maana laneno WASAFI siyo usafi wala kutakata kamwe, Bali ni:

1.W=worshiping 2.A=american 3.S=Satan 4.A=and 5.F=frimason 6.I=internationally !!!

TAFAZALI RUSHIYA NDUGU ZAKO wenye kujiita (WASAFI)!!!
 
Acha chuki ww wote ni watanzania hao
Ww shabikia mzuki nzuri sio majungu tu
 
Na wewe nenda kachukue tuzo.

Best hater of the year....... ( danya )
Utaishia hivyo hivyo tu kuponda watu.....
Deal with ur life. Bwoy
[emoji28] [emoji28] [emoji28] eti Best hater of the year lol
 
Danya na data hawa jamaa wanamatatizo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…