Bila Shaka: Huu Utakuwa Mwaka Wa Tanzania Kimafanikio Katika Soka Barani Africa

Hesabu zinawatupa Simba...
Simba wakiwa nyumbani wanashinda 2-1 au 1-0
Lakini wakitoka nje hawana lolote na hawajafunga goli ugenini.
Hii ina maana katika hatua ya robo fainali watafungwa 5-1 in agg
Home: mbambane 1 : 4 simba
Away: mbambane 0 : 4 simba

Away: Nkana 2 : 1 simba
Home: simba 3 : 1 Nkana.

Kila stage ina aproach yake, kwa akili yako Hizo game za knock out stages simba inaweza kwenda ugenini kucheza attacking aproach? Group stage inahitaji mahesabu tu but knock out stage inahitaji kubalance ugenini na nyumbani, Nyumbu na Zahera wanajifanya wanajua haya mambo zaidi ya uchebe😂😂😂
 
Well said mkuu..watu wanashindwa kutofautisha group stage na knockout stage..kwenye group stage timu zinaangali home advantage regardless of matakeo ya ugenini but in knock out stage inaangaliwa aggregate ya magoli so lazima timu icheze kwa nidhamu kubwa sana ikiwa away.
 
We mfariji tu mwenzio knockout stage kule hakuna akn Nkana...watakataana wenyw hao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hesabu zinawatupa Simba...
Simba wakiwa nyumbani wanashinda 2-1 au 1-0
Lakini wakitoka nje hawana lolote na hawajafunga goli ugenini.
Hii ina maana katika hatua ya robo fainali watafungwa 5-1 in agg
Si kweli
Simba 4 Mbabane 1; Mbabane 0 Simba 4 Aggregate Simba 8 Mbabane 1
Nkana 2 Simba 1; Simba 3 Nkana 1 Aggregate Simba 3 Nkana 2
Approach ya ligi ni tofauti kabisa na play offs
 
tunaocheza nao wamepiga kambi Misri,sisi tunaimba Mungu ibariki Tanzania,jamani tuwe serious basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Jidanganyeni tu
 
Si kweli
Simba 4 Mbabane 1; Mbabane 0 Simba 4 Aggregate Simba 8 Mbabane 1
Nkana 2 Simba 1; Simba 3 Nkana 1 Aggregate Simba 3 Nkana 2
Approach ya ligi ni tofauti kabisa na play offs

Achana na mbabane achana na Nkana...
Wanaitwa Orchestre Le Tout Puissant 'Englebert' Mazembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…