Bila shaka wanawake akili yenu inafanya anticlockwise!

Bila shaka wanawake akili yenu inafanya anticlockwise!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Nimesikitika leo baada ya kumwona Mwanamziki ajulikanae kwa Jina la JAFFARAIH anaendesha gari ya Shyrose banj Toyota Herrier na anaingia kwake leo tarehe 6/8/2011!Kwajinsi alivyo mwanika kajamaa haya pydokj
 
Acha umbea...mapenzi yao yanakuhusu nini?

Kama kweli imekugusa mbona huulizi iweje mwanaume karudi kwa mwanamke aliyesema hafai?!
 
Nimesikitika leo baada ya kumwona Mwanamziki ajulikanae kwa Jina la JAFFARAIH anaendesha gari ya Shyrose banj Toyota Herrier na anaingia kwake leo tarehe 6/8/2011!Kwajinsi alivyo mwanika kajamaa haya pydokj

KakaKiiza hiyo Title yako ya hii thread kwa kweli imenikwaza..........kwani ni lazima ufanye majumuishao? Sometimes naona kama unatutukana wanawake wote kwa kesi ya mtu mmoja tu??......................ah

Kujibu Thread yako:
Sijakuelewa aliteanikwa ni nani kati ya hao wapenzi?
 
Hilo ndo tatizo la kutokua mwanaume kamili... kuweza jisimamia na kutoa maamuzi ya msingi na kujenga maisha yako... yule dada namfahamu kwa ukaribu (via observation) She is a great woman ki Proffessional na utendaji wa kazi, she is really great! Hard worker ile mbaya... pamoja na kusema age does not matter (IMO it matters) bado naona haamini kua imefika wakati wa yee kutulia na kuishi umri wake... she is almost a chain smoker, bado anatupia weed once in a while and stuff... yaani anaishi maisha ambayo vijana wa kisasa/kibongo (i.e Jaffarai) wana husudu hivo kuachana kwao inamuathiri Jaffarai zaidi kuliko hata Shyrosse - na amini usiamini Kiiza, as much as ndio Mdada ana pesa na yaweza onekana ka vile Jaffarai anampendea pesa - Mi hio sikubali... Labda mwanzoni ilikua hivo but in time those two fell in love.... na hio ndo itawafanya the rise and fall of their relationship.... on and on and on....
 
mbona hayo ni mambo ya kawaida sana.....btw......nipo calabash....upo leo?
 
Nimesikitika leo baada ya kumwona Mwanamziki ajulikanae kwa Jina la JAFFARAIH anaendesha gari ya Shyrose banj Toyota Herrier na anaingia kwake leo tarehe 6/8/2011!Kwajinsi alivyo mwanika kajamaa haya pydokj

Mazowea yana tabu tabia zikilingana,sasa kakakiiza hao watu wache kama walivyo wewe lako liwe jitho tuuu.
 
Mbona kawaida tu, wapo pia wanaume walioapa kuwarudia wanawake zao, na badae wakawarudia na vichwa chini
 
Acha umbea...mapenzi yao yanakuhusu nini?<br />
<br />
Kama kweli imekugusa mbona huulizi iweje mwanaume karudi kwa mwanamke aliyesema hafai?!
<br />
<br />
lizy kesho nitafute tukale mdudu, umenifurahisha sana!! Maana huu ni over umbea kufuatilia mambo ya watu!
 
Hii thread ingesomeka wanaume akili zao zinafanya kazi kinyume kwakuwa Shyrose hajafungua kinywa chake muda wote Jafarai alipokuwa analia kunyang'anywa tonge mdomoni na kutoa kashfa lukuki,na sasa karudi nyumbani kwa MWANAMKE na kula matapishi yake.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
lizy kesho nitafute tukale mdudu, umenifurahisha sana!! Maana huu ni over umbea kufuatilia mambo ya watu!
Mida ya saa sita sita hivi basi dearest....usisahau na kasoda ka baridi ntahitaji!!
 
Back
Top Bottom