Bila umeme wa uhakika, tunawezaje kunufaika na Teknolojia?

Bila umeme wa uhakika, tunawezaje kunufaika na Teknolojia?

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
Umeme ni hitaji la Msingi katika kufikia na kutumia Teknolojia, ikiwemo Intaneti

Kama Mwananchi unayetumia au kutegemea Digitali kwa shughuli mbalimbali, unaathirika kwa kiwango gani unapokosa Umeme?

13% ya Watu Duniani hawapati Umeme.jpg
 
Back
Top Bottom