Bila Yesu Rais wa Belarus angeshapinduliwa zamani

Bila Yesu Rais wa Belarus angeshapinduliwa zamani

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Mzuka WanaJF!

Nilishaletaga uzi humu kipindi cha nyuma kuhusu Belarus na Rais wao Alexander Lukashenko.

Huyu mtu Ni Yesu AnamLinda. Ni mkristo wa Orthodox anayemuamini Mungu na hataki uppuuz. Alishapewaga offer ya Belarus kuingia EU akilegeza msimamo akamuambia Angela Merkel na EU go to hell hawezi kuruhusu Ushoga na akaapa akiwa Hai kamwe ndoa ya jinsi a moja hata wahi kutoka Belarus.

Ni mtu anayemtegemea Mungu sana. Kanisa la orthodox halina upuuzi upuuzi. Romania walipiga kura kabisa hawamtaki upuuzi wa ushoga. Georgia kupitia Kanisa la Orthodox wamekataa kujiunga EU kwasababu ya Ushoga wamesema we can't let Jesus down. Serikali ya Ugiriki na Bulgaria ni wapuuz Ila Kanisa la Orthodox limekataa.

Serikali ya Ukraine ni wapuuz pia wako kimbelembele Lukashenko apinduliwe lakini wa Ukraine wengi wanamuunga mkono kwasababu Belarusian ni ethnic Ukrainians ni mipaka tu ndio imewatenga ni kama wamasai wa Tanzania na Kenya.

JESUS protect Alexander Lukashenko.

Hii picha ya jana Lukashenko akiwa kwenye maombi kambini jeshini
Screenshot_20200823_102035.jpg
 
Kaitoa Belarus mbali sana from scratches. Hadi Sasa hivi Belarus uchumi wake ni 195 billions Euros. Belarus ukizaa watoto watatu unapewa nyumba bure kaiga hii system kutoka kwa Putin. Na kila mtoto anapewa kama euro 15,000.

Mshahara kwa wafanya kazi wengi ni Euro 250 hii inatosheleza mahitaji yote kwa mwezi kodi na kadhalika.

Media za magharibi hawawezi kutangaza hili
 
Mataifa yote ya Eastern Europe ni Orthodox lakini EU wamekuja kuwavuruga haya Mataifa ambayo walimuabudu Mungu kutoka moyo I. Hungary kwishney, Czech kwishney, Slovakia kwishney, Baltic states ( Lithuania, Estonia na Latvia) Kwishney.

Former Yugoslavia (Croatia, Slovania, Montenegro, Makedonia) Kwishney. Serbia wamejaribu kukomaa Sasa hivi wamelegea. Bosnia Herzegovina na Kosovo ni waislam lakini tayari wamelegea wamekubali Ushoga na karibuni Wataingizwa EU
 
Dhambi kwako ni ushoga tuu ? Vip kamà huyo ni mzinzi bado utadai analindwa na Yesu ?
 
Hahaha,acha ajitangaze kuwa na mfalme tu,watu wa nchi yake wamemchoka,hakuna Yesu.wala.Daudi hapo aondoke tu..
 
hivi EU huwa ni ushoga tu na sikingine?
Siyo Ushoga tu Bali haki za binàdamu, free judiciary system na uhuru wa habari. Zingine sawa Ila hii ya Ushoga wanazingua.

Belarus na Georgia wamekataa Ushoga hadi walipewa offer ya kuingia EU wakikubali Ushoga wakakata lakini kuna vikundi vichache vya kipuuz hivi vinavyoandama ndio vinapenda kufumuana marina.

Kinachoniuma mataifa ya Kiislam Bosnia Herzegovina, Albania na Kosovo vimekubali Ushoga na vipo mbioni kuingia EU.
 
Huyo jamaa ni mwamba,tena ni mwamba kwelikweli kwa dunia ya leo kuna miamba minne tu bwana mapanki(kim),mzee lukashenko,yule jamaa raisi wale brazil naye ni mwamba kwelikweli na hapa afrika tunaye bwana pombe a.k.a magu mzee wa chato,huyu naye mwamba haswaaa
 
Kaitoa Belarus mbali sana from scratches. Hadi Sasa hivi Belarus uchumi wake ni 195 billions Euros. Belarus ukizaa watoto watatu unapewa nyumba bure kaiga hii system kutoka kwa Putin. Na kila mtoto anapewa kama euro 15,000.

Mshahara kwa wafanya kazi wengi ni Euro 250 hii inatosheleza mahitaji yote kwa mwezi kodi na kadhalika.

Media za magharibi hawawezi kutangaza hili
Mambo mengine ajabu kweli kweli, Sasa kama mshahara unatosha mpaka kodi? Hizo nyumba wanazopewa wanakua wanaziacha baada ya muda gani? Maana hapo umesema wanapewa nyumba sasa kodi za nini?
 
Mzuka WanaJF!

Nilishaletaga uzi humu kipindi cha nyuma kuhusu Belarus na Rais wao Alexander Lukashenko.

Huyu mtu Ni Yesu AnamLinda. Ni mkristo wa Orthodox anayemuamini Mungu na hataki uppuuz. Alishapewaga offer ya Belarus kuingia EU akilegeza msimamo akamuambia Angela Merkel na EU go to hell hawezi kuruhusu Ushoga na akaapa akiwa Hai kamwe ndoa ya jinsi a moja hata wahi kutoka Belarus.

Ni mtu anayemtegemea Mungu sana. Kanisa la orthodox halina upuuzi upuuzi. Romania walipiga kura kabisa hawamtaki upuuzi wa ushoga. Georgia kupitia Kanisa la Orthodox wamekataa kujiunga EU kwasababu ya Ushoga wamesema we can't let Jesus down. Serikali ya Ugiriki na Bulgaria ni wapuuz Ila Kanisa la Orthodox limekataa.

Serikali ya Ukraine ni wapuuz pia wako kimbelembele Lukashenko apinduliwe lakini wa Ukraine wengi wanamuunga mkono kwasababu Belarusian ni ethnic Ukrainians ni mipaka tu ndio imewatenga ni kama wamasai wa Tanzania na Kenya.

JESUS protect Alexander Lukashenko.

Hii picha ya jana Lukashenko akiwa kwenye maombi kambini jeshiniView attachment 1545605




Mkuu vipi tena, Bila Yesu Rais wa Belarus angeshapinduliwa zamani, na sio Mwenyenzi Mungu tena!!!
 
Back
Top Bottom