sheria ya wizi na ubakaji
sheria ya wizi na ubakaji
Huwezi kumshitaki mtu utathibitisha vipi uliingia na hivyo vitu ? ulionyesha mlangoni ? tena una bahati kuna vijana pale wangedai we ndugu yao wanakupeleka nyumbani baada ya kukunukisha madawa ya kulevya,na kuishia kukuoa bila mahari wala sherehe.
Ijumaa iliyopita niliamua kuwatembelea baada ya kusikia sifa zenu. Kwa kweli nilichokutana nacho ni matatizo ya hali ya juu. Baada ya kupiga ndovu nane niliamua kujipumzisha counter na kupitiwa na usingizi. Baada ya kuamka nilijikuta sina laki nane zangu, sina saaa na blackberry yangu ikawa imenitoka. Kama mnataka kupata wateja basi jaribuni kuimarisha ulinzi, vinginevyo mtapoteza wateja wenu hivihivi
rest in peace!!!
nyambafu!!
Ijumaa iliyopita niliamua kuwatembelea baada ya kusikia sifa zenu. Kwa kweli nilichokutana nacho ni matatizo ya hali ya juu. Baada ya kupiga ndovu nane niliamua kujipumzisha counter na kupitiwa na usingizi. Baada ya kuamka nilijikuta sina laki nane zangu, sina saaa na blackberry yangu ikawa imenitoka. Kama mnataka kupata wateja basi jaribuni kuimarisha ulinzi, vinginevyo mtapoteza wateja wenu hivihivi
Du! Laki nane night club? Unekoma kama ungekuwa Jolly Club. Halafu inaonekana wewe kichwa cha panzi, bia nane unazimika? Mwanamme anakata hadi ishirini na anarudi nyumbani salama. Ungeanzia break point na supu ya kuku.
Mkuu nimekufuatilia muda mrefu sana kwa kuniita sijui Mwita mara oooh Mwita25, mimi sijaelewa bado haya majina umeyatoa wapi lakini nimesharipoti tabia yako kwa mods.
Hata mimi nimeshangaa bia nane tena tule tu ndovu mwanamme ? nakifahamu kabinti 22yrs kanakunywa Safari za moto 10-12 na kanatufunga pool na hakapepesuki wala nini.Du! Laki nane night club? Unekoma kama ungekuwa Jolly Club. Halafu inaonekana wewe kichwa cha panzi, bia nane unazimika? Mwanamme anakata hadi ishirini na anarudi nyumbani salama. Ungeanzia break point na supu ya kuku.
Ijumaa iliyopita niliamua kuwatembelea baada ya kusikia sifa zenu. Kwa kweli nilichokutana nacho ni matatizo ya hali ya juu. Baada ya kupiga ndovu nane niliamua kujipumzisha counter na kupitiwa na usingizi. Baada ya kuamka nilijikuta sina laki nane zangu, sina saaa na blackberry yangu ikawa imenitoka. Kama mnataka kupata wateja basi jaribuni kuimarisha ulinzi, vinginevyo mtapoteza wateja wenu hivihivi
labda unaona laki nane ni nyingi saaaana kwasababu mshahara wako haufiki laki 6
sheria inasema ulipoingia club ulikuwa na buku tatu na nokia ya tochi bila kusahau ulikuwa tayari umeshalewa kibuku na ulivuta bangi ambayo ilikupelekea kuona nokia ya tochi kuwa blackberry na buku tatu kuwa laki nane!
sheria inasema ulipoingia club ulikuwa na buku tatu na nokia ya tochi bila kusahau ulikuwa tayari umeshalewa kibuku na ulivuta bangi ambayo ilikupelekea kuona nokia ya tochi kuwa blackberry na buku tatu kuwa laki nane!