demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Huyu mwana ni mjanja sana.
Yaani amejimilikisha Klabu kijanja janja tu (Kama asemavyo KIGWANGALAH)
Kwa namna anavyopenda kusifiwa na kupigiwa magoti nimeshangaa sana kuona kwanini haonyeshi hizo pesa mahala zilipo. Kama ni kweli benki kwanini asiseme ziko benki gani?
Kumbe uhalisia jamaa alikuwa anatoa bilion 4 kila msimu kwa mida wa misimu 5
Msimu 2021/22 - Yanga Bingwa
Msimu 2020/21 - Simba Bingwa
Msimu 2019/20 - Simba Bingwa
Msimu 2018/19 - Simba Bingwa
Msimu 2017/18 - Simba Bingwa
Kati ya hiyo misimu 5. Misimu 4 alifanikiwa kuchukua Ubingwa na msimu wa mwisho alifanikiwa kuchukua Bingwa wa kihistoria kwa sababu.
Yanga SC alifanikiwa kuchukua msimu huu kwa sababu ya pesa ya mkataba na Azam TV ambapo kila mwanzo wa msimu anapokea Bilion 4 sawa na kiasi ambacho Mo anakiwekeza Simba SC.
Ikumbukwe Azam TV ikakuwa ikitoa bilion 4 kila mwaka kwa mda wa miaka 10.
(Huenda ikawa sababu ya kwanini viongozi wa Yanga wanasema watatwaa ubingwa kwa mara 10 mfululizo)
Je nini hatma ya Mo Dewji pale Simba SC ikiwa ana miliki asilimia 49 ya hisa za klabu ikiwa pesa ajazikabidhi kwa klabu bali alikuwa anazikabidhi kwa kabla kwa mfumo wa kuihudumia timu?
Je nini kitatokea kwa simba kama mwana akisusa na kudai arudishiwe pesa zake?
Yaani amejimilikisha Klabu kijanja janja tu (Kama asemavyo KIGWANGALAH)
Kwa namna anavyopenda kusifiwa na kupigiwa magoti nimeshangaa sana kuona kwanini haonyeshi hizo pesa mahala zilipo. Kama ni kweli benki kwanini asiseme ziko benki gani?
Kumbe uhalisia jamaa alikuwa anatoa bilion 4 kila msimu kwa mida wa misimu 5
Msimu 2021/22 - Yanga Bingwa
Msimu 2020/21 - Simba Bingwa
Msimu 2019/20 - Simba Bingwa
Msimu 2018/19 - Simba Bingwa
Msimu 2017/18 - Simba Bingwa
Kati ya hiyo misimu 5. Misimu 4 alifanikiwa kuchukua Ubingwa na msimu wa mwisho alifanikiwa kuchukua Bingwa wa kihistoria kwa sababu.
Yanga SC alifanikiwa kuchukua msimu huu kwa sababu ya pesa ya mkataba na Azam TV ambapo kila mwanzo wa msimu anapokea Bilion 4 sawa na kiasi ambacho Mo anakiwekeza Simba SC.
Ikumbukwe Azam TV ikakuwa ikitoa bilion 4 kila mwaka kwa mda wa miaka 10.
(Huenda ikawa sababu ya kwanini viongozi wa Yanga wanasema watatwaa ubingwa kwa mara 10 mfululizo)
Je nini hatma ya Mo Dewji pale Simba SC ikiwa ana miliki asilimia 49 ya hisa za klabu ikiwa pesa ajazikabidhi kwa klabu bali alikuwa anazikabidhi kwa kabla kwa mfumo wa kuihudumia timu?
Je nini kitatokea kwa simba kama mwana akisusa na kudai arudishiwe pesa zake?