Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Mbunge wa Singida na Mfanyabiashara mkubwa mwenye umri mdogo mwenye mapenz kwa Simba mohamed Dewj amerud kuja kuifadhiri team yake kipenz Simba Sports Club maarufu kama Mnyama yenye maskani pale kariakoo mtaa wa Msimbazi.
Bwana Dewji ambaye pia amepost picha za jezi ambazo amewanunulia simba kwa ajili ya kuonesha namna gani amekuwa na mapenz na team hii ingawa alijiweka kando kidogo na mambo ya mpira.
jambo hili limewafurahisha wana simba wengi hasa kwa kuwa kijana huyu amekuwa akijiamini na biashara zake ni halali hivyo anafanya udhamini kwa nia njema na si kwa ajili ya kuitumia team kufanya biashara haramu kama wadhamini wengine wanavyofanya. kwenye jarida maarufu dunian la forbes dewj anatajwa kuwa ni Billionea Mdogo Africa.
Wanasimba sasa kaeni tu mkao wa kufurahia matokeo ya udhamini wake.
Bwana Dewji ambaye pia amepost picha za jezi ambazo amewanunulia simba kwa ajili ya kuonesha namna gani amekuwa na mapenz na team hii ingawa alijiweka kando kidogo na mambo ya mpira.
jambo hili limewafurahisha wana simba wengi hasa kwa kuwa kijana huyu amekuwa akijiamini na biashara zake ni halali hivyo anafanya udhamini kwa nia njema na si kwa ajili ya kuitumia team kufanya biashara haramu kama wadhamini wengine wanavyofanya. kwenye jarida maarufu dunian la forbes dewj anatajwa kuwa ni Billionea Mdogo Africa.
Wanasimba sasa kaeni tu mkao wa kufurahia matokeo ya udhamini wake.