Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Akili za hawa watu mkuu ni shida. Kama midume mizima inaomba kupewa mimba na mayele ili imzalie mtoto unafikiri kuna watu hapo?Si alishatolea ufafanuzi kuna siku alisema ameweka bond hizo hela faida ndo inatumika kuendesha team tatizo hamfuatilii vitu mnakuwa kama manara vile mnaropoka tu.
Ngoja tukutafutie namba yake umuulizeSasa hiyo 20 ya Mo ilikuwa ni msaada wa Mo kwa Simba au ni kitu gani hasa?
So pesa ni zake ila faida ndiyo inaendeeha timu?Si alishatolea ufafanuzi kuna siku alisema ameweka bond hizo hela faida ndo inatumika kuendesha team tatizo hamfuatilii vitu mnakuwa kama manara vile mnaropoka tu.
Hapana ni za simba ila hazijawekwa directSo pesa ni zake ila faida ndiyo inaendeeha timu?
Wewe uliyeelewa hebu tueleweshe sisi tusiojuwa lolote kuhusu Hilo, ndio faida za JF.Hili swala lishatolewa ufafanuzi na lishaeleweka labda kama kipindi icho aukuwa unafatilia mchakato wa transfomation.
kunyimwa mkopo wa piki piki umeshakua kama vile chuchunge unachonga sana, kwani mpka saiv ww umeisaidia simba shilingi ngapi?Kwa ni navyoelewa, endowment fund huwa zinatolewa na matajiri kama msaada. Yaani hiyo pesa inawekezwa na faida anapewa yule mnufaika wa msaada. Lengo huwa na mnufaika kuwa na pato endelevu...
Je sisi Team Kilomoni tulipouliza haya mbona mlituletea polisi pale block 41 Kinondoni?Kwa ni navyoelewa, endowment fund huwa zinatolewa na matajiri kama msaada. Yaani hiyo pesa inawekezwa na faida anapewa yule mnufaika wa msaada. Lengo huwa na mnufaika kuwa na pato endelevu.
Sasa hiyo 20 ya Mo ilikuwa ni msaada wa Mo kwa Simba au ni kitu gani hasa?
View attachment 2242527
Elfu 7 ! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Wewe uliyeelewa hebu tueleweshe sisi tusiojuwa lolote kuhusu Hilo, ndio faida za JF.
Inanikumbusha utotoni nilikuwa nawekewa pesa na mama, Sasa hadi ukubwani MTU akikwambia anakuwekea pesa zako halali hiyo ni zaidi ya dharau kama si utapeli.
Utapeli kama huuu Imani Madega aliukataa Yanga pale Manji alipotaka kuinunuwa Yanga Kwa shilling elfu Saba TU.
Amkeni.
Buku Saba TU, Madega ni wakili msomi, Wana Yanga mpaka kesho hicho kikokotoo Cha buku Saba Bado hawakielewi lakini ndio ukweli wenyewe.Elfu 7 ! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Google, au mpigie Kigwangwala, mzee wa kunyimwa mkopo wa pikipiki.Wewe uliyeelewa hebu tueleweshe sisi tusiojuwa lolote kuhusu Hilo, ndio faida za JF.
Samahani mtaalam! Hebu fafanua kidogo kwa undani. Hizo bilioni 20 ni za simba, ila hazijawekwa direct wapi? Kwenye akaunti ya simba, au!Hapana ni za simba ila hazijawekwa direct
Inawezekana mpaka leo bado simba sio kampuni, hivyo MO bado sio shareholder wa hio kampuni........Samahani mtaalam! Hebu fafanua kidogo kwa undani. Hizo bilioni 20 ni za simba, ila hazijawekwa direct wapi? Kwenye akaunti ya simba, au!
Kwa hiyo ziko indirect......! Ufafanuzi tafadhali. Maana jambo hili limetugawa sisi mashabiki wa simba.