playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
We don't need viewers sio bongofleva hiyo use me tunataka trending cha msingi mzigo umeweka...mchukueni Manara atawafaaWadau tukio la No kuweka pesa halijapewa uzito unao stahili ukilinganisha na Mambo yaliyo tokea huko nyuma
Binafsi naliona pengo Manara, na hii ni Mwanzo tu. Yule mtu hakua msomi lakini alikua na Kipaji cha kuzaliwa.
Simba itaanza kupoteza mvuto na hata hiyo B20 haitazaa kama matarajio
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo unatakaje, kwani hakuna sheria... Kwa mashabiki tu swala la bilion 20 ameweka au hajaweka inatusaidia nini?Kaweka bilion 20 na je akizichota? Nani atamzuia??
Mkuu, kwa miaka yote niliyokufahamu Humu hii comment haina hadhi yako.Kaweka bilion 20 na je akizichota? Nani atamzuia??
Ulitakaje Mkuu?yaani unataka kumpangia MTU namna ya kufurahia mafanikio yake?Wadau tukio la No kuweka pesa halijapewa uzito unao stahili ukilinganisha na Mambo yaliyo tokea huko nyuma
Binafsi naliona pengo Manara, na hii ni Mwanzo tu. Yule mtu hakua msomi lakini alikua na Kipaji cha kuzaliwa.
Simba itaanza kupoteza mvuto na hata hiyo B20 haitazaa kama matarajio
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Ni jambo jema kabisaTupo tunamalizia mchakato wa mwisho kabisa wa kuifanya hii timu iwe ya familia kabisa
Kitu wasichotaka kusikia Simba ukiwaambia Mo ni tapeli, ukiangalia mgogoro wa Haji Manara na madam CEO indirectly ni la mgongano wa kimaslahi kati ya Manara na Mo yaani Mo hataki Manara apige dili za matangazo yasiyo ya kampuni za Mo sasa unajiuliza je Manara ni mwajiriwa wa Simba au Mo interprisesWana Simba wamelainishwa na tabasamu la Babra na kumtosa baharini Haji Manara bila hata kutaka kujua ukweli wa madai yake. Kweli Simba hamna kitu pale. Timu imeshauzwa kwa 100% na kitendo chenu cha kukalia kimya haki ndogo za Manara zikikwapuliwa ni nyundo ya mwisho ya mnada iliowanyang'anya umiliki mdogo mliokuwa mmebakiwa nao.
Sasa its official kuwa Simba inamilikiwa na watu wawili kama alivyodai Haji Manara.
Eleza vitu angalau vitatu alivyotapeli mo hapo simbaKitu wasichotaka kusikia Simba ukiwaambia Mo ni tapeli, ukiangalia mgogoro wa Haji Manara na madam CEO indirectly ni la mgongano wa kimaslahi kati ya Manara na Mo yaani Mo hataki Manara apige dili za matangazo yasiyo ya kampuni za Mo sasa unajiuliza je Manara ni mwajiriwa wa Simba au Mo interprises
Kwaiyo mkataba wa uwekezaji wa Mo na Simba ni wa kimangungo tu maana hakuna clear line kati ya Mo Kama mwekezaji na makampuni yake kwenye dili za udhamini na matangazo kiujumla Mo ndio anayefaidika zaidi na Simba kuliko Simba kufaidika zaidi ni suala la muda tu. Ogopa sana mwekezaji anayewekeza lakini anaacha mfumo wa utegemezi sio kuwezesha ili kujitegemea
Mashabiki wa Simba ni sikio la kufa ila suala na muda tuEleza vitu angalau vitatu alivyotapeli mo hapo simba
Swali dogo tu unazunguka twende kwa facts tetea hoja zakoMashabiki wa Simba ni sikio la kufa ila suala na muda tu
Mlivyo na akili finyu muda wa dirisha la usajili mnawaza billioni 20 za Mo ligi ikianza mnaanza kuilaumu TFF kila timu lenu linapofungwa.Wadau tukio la No kuweka pesa halijapewa uzito unao stahili ukilinganisha na Mambo yaliyo tokea huko nyuma
Binafsi naliona pengo Manara, na hii ni Mwanzo tu. Yule mtu hakua msomi lakini alikua na Kipaji cha kuzaliwa.
Simba itaanza kupoteza mvuto na hata hiyo B20 haitazaa kama matarajio
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kila kitu nimesema kwenye comment ya mwanzo.Swali dogo tu unazunguka twende kwa facts tetea hoja zako
Kila kitu nimesema kwenye comment ya mwanzo.
Hebu niambie nini kinatenganisha Mo Kama mwekezaji wa Simba na Mo interprises kama wadhamini kimaslahi
Je kuondoka kwa Haji Manara ni coincidence au kuna kitu zaidi maana inaonekana alikua analazimishwa kupewa mkataba utakao mbana asifanye dili ambazo sio za kampuni za Mo sasa je Manara alikua ni mwajiriwa wa Simba au Mo interprises
Muda, je mkataba wa uwekezaji umezingatia muda na dhamani ya pesa(money time value) toka aliposign mpaka alipotoa hiyo 20b
Nguvu ya majority shareholdes kwa kuzingatia 51% ni ya Simba sports je mpaka sasa wanayonguvu ya maamuzi kuhusu Simba ukizingatia mwekezaji ndio mdhamini mkuu hauoni mgongano wa maslahi
Ukijibu hayo maswali utajua kuwa mjomba ni tapeli
Sehemu ya pili umeongelea nguvu ya 51%..yaani hao hakuna chochote kwenye timu wanachoprovide hakuna kabisa zaidi ya kutegemea kitakachozalishwa na timu ambacho kiuhalisia hakikidhi mahitaji ya timu..yani kwa kawaida tu lazima 49% zitakua na nguvu kwa sababu zifuatazoKila kitu nimesema kwenye comment ya mwanzo.
Hebu niambie nini kinatenganisha Mo Kama mwekezaji wa Simba na Mo interprises kama wadhamini kimaslahi
Je kuondoka kwa Haji Manara ni coincidence au kuna kitu zaidi maana inaonekana alikua analazimishwa kupewa mkataba utakao mbana asifanye dili ambazo sio za kampuni za Mo sasa je Manara alikua ni mwajiriwa wa Simba au Mo interprises
Muda, je mkataba wa uwekezaji umezingatia muda na dhamani ya pesa(money time value) toka aliposign mpaka alipotoa hiyo 20b
Nguvu ya majority shareholdes kwa kuzingatia 51% ni ya Simba sports je mpaka sasa wanayonguvu ya maamuzi kuhusu Simba ukizingatia mwekezaji ndio mdhamini mkuu hauoni mgongano wa maslahi
Ukijibu hayo maswali utajua kuwa mjomba ni tapeli
Kaweka bilion 20 na je akizichota? Nani atamzuia??
chuki zako kwa Mo huwa zinakuingia shilingi ngapiKaweka bilion 20 na je akizichota? Nani atamzuia??
hivi unadhani hayo uliyoandika hawayajui? wanayajua yoote ila tatizo ni hulka za masikini kuchukia mtu aliyefanikiwa.Brother hufikirii?Mo alikua mdhamini kwa kila kitu pale Simba obviously atakua favoured kwa yale machache atakayohitaji mbona hii ni basic sana kwenye maisha?na moja kati ya hilo ni wafanyakazi wa club tena wale wenye popularity potential wasitangaze bidhaa zenye mgongano wa kimaslahi na yeye na ikiwa Manara aliona anabanwa basi na yeye akaamua kuacha lazi simba na simba wamemkubalia kwa hio ni win win situation..Manara ataenda kupata pesa zaidi lakini Simba pia itakua imempa favour mdhamini wake and mind you Mo alikua ni kila kitu pale simba asijekukwambia mtu eti Simba ni strong bila pesa zake hizo ni bla bla tu mpira wa sasa ni pesa na timu za bongo bado hazina pesa ila angalau sasa misingi inaanza kutengenezwa labda huko mbeleni after 5-10 years zitaweza kujiendesha ikiwa tutakua tumetengeneza culture ya kiuchumi kwenye michezo yetu ikiwepo washabiki kuzoeshwa kuhudhuria mechi zote,washabiki kuzoeshwa kununua jezi genuine na vinginevyo.kwa hio kwa swala la manara iko wazi Mo ameiua favoured na ni sawa tu maana yeye pia kajivuta kuisupport Simba sports clum from being a banter club.
Post ya chini nakujib hayo mengine ngoja nitulie kidogo..twende tarataibu hivihivi kwa facts na kama hatuna facts tuende kwa reasonable opinions
Brother hufikirii?Mo alikua mdhamini kwa kila kitu pale Simba obviously atakua favoured kwa yale machache atakayohitaji mbona hii ni basic sana kwenye maisha?na moja kati ya hilo ni wafanyakazi wa club tena wale wenye popularity potential wasitangaze bidhaa zenye mgongano wa kimaslahi na yeye na ikiwa Manara aliona anabanwa basi na yeye akaamua kuacha lazi simba na simba wamemkubalia kwa hio ni win win situation..Manara ataenda kupata pesa zaidi lakini Simba pia itakua imempa favour mdhamini wake and mind you Mo alikua ni kila kitu pale simba asijekukwambia mtu eti Simba ni strong bila pesa zake hizo ni bla bla tu mpira wa sasa ni pesa na timu za bongo bado hazina pesa ila angalau sasa misingi inaanza kutengenezwa labda huko mbeleni after 5-10 years zitaweza kujiendesha ikiwa tutakua tumetengeneza culture ya kiuchumi kwenye michezo yetu ikiwepo washabiki kuzoeshwa kuhudhuria mechi zote,washabiki kuzoeshwa kununua jezi genuine na vinginevyo.kwa hio kwa swala la manara iko wazi Mo ameiua favoured na ni sawa tu maana yeye pia kajivuta kuisupport Simba sports clum from being a banter club.
Post ya chini nakujib hayo mengine ngoja nitulie kidogo..twende tarataibu hivihivi kwa facts na kama hatuna facts tuende kwa reasonable opinions
Hua nashangaa sana mtu akishakua tim pinzani basi anajiziba na macho asione vitu vipivyo waziKila kitu nimesema kwenye comment ya mwanzo.
Hebu niambie nini kinatenganisha Mo Kama mwekezaji wa Simba na Mo interprises kama wadhamini kimaslahi
Je kuondoka kwa Haji Manara ni coincidence au kuna kitu zaidi maana inaonekana alikua analazimishwa kupewa mkataba utakao mbana asifanye dili ambazo sio za kampuni za Mo sasa je Manara alikua ni mwajiriwa wa Simba au Mo interprises
Muda, je mkataba wa uwekezaji umezingatia muda na dhamani ya pesa(money time value) toka aliposign mpaka alipotoa hiyo 20b
Nguvu ya majority shareholdes kwa kuzingatia 51% ni ya Simba sports je mpaka sasa wanayonguvu ya maamuzi kuhusu Simba ukizingatia mwekezaji ndio mdhamini mkuu hauoni mgongano wa maslahi
Ukijibu hayo maswali utajua kuwa mjomba ni tapeli
hivi unadhani hayo uliyoandika hawayajui? wanayajua yoote ila tatizo ni hulka za masikini kuchukia mtu aliyefanikiwa.
Hongera kumbe naongea na mtu sio sahihiSehemu ya pili umeongelea nguvu ya 51%..yaani hao hakuna chochote kwenye timu wanachoprovide hakuna kabisa zaidi ya kutegemea kitakachozalishwa na timu ambacho kiuhalisia hakikidhi mahitaji ya timu..yani kwa kawaida tu lazima 49% zitakua na nguvu kwa sababu zifuatazo
1)Mo anamiliki hisa kubwa kuliko mtu yyte..kwasababu kwenye hio 51 sio kwamba wooote watakua siku zote na maamuzi sawa inawezekana kabisa kati yao pia wengi wakawa na maamuzi sawa na ya Mo..kwa hio wao huko ndani kutofautiana kwa vyovyote vile ni lazima 49 ishinde maana kiuhalisia yenyewe ina msimamo mmoja as a whole tofauti na hawa 51 ambao wanamisimamo mingi ndani yao.Labda ikitokea siku wooote hao wakawa na wazo moja la pamoja basi wataishinda hii 49 ya mo ila pia kipengele namba 2 lazima kizingatiwe.
2)Nani anaprovide kwenye timu lazima itaendelea kua na impact kimaamuzi..ikifikia hatua simba inajitosheleza kigharama za uendeshaji basi hapo maamuzi yatategemea nguvu ya shares
Ila kwa sasa sasa impact kubwa lazima mo anayo kutokana na nilivyoelezea
Jenga na attack hoja sio mtoa hojaHongera kumbe naongea na mtu sio sahihi
Nimeona haujui au umepofuka na vikombe ila haungalii in a long term maana sasa Mo anaitumia Simba kufanya biashara zake in return kuwafurahisha na vikombe kidogo tu hiyo 51% unayoiona sio kitu ndio wenye Simba waliopigana kwa jasho na damu sio Mo sasa ukisema sio kitu naona sina haja ya kuendeleaJenga na attack hoja sio mtoa hoja
1)anaitumia kibiashara ni kweli lazima apate faidaNimeona haujui au umepofuka na vikombe ila haungalii in a long term maana sasa Mo anaitumia Simba kufanya biashara zake in return kuwafurahisha na vikombe kidogo tu hiyo 51% unayoiona sio kitu ndio wenye Simba waliopigana kwa jasho na damu sio Mo sasa ukisema sio kitu naona sina haja ya kuendelea