Bilioni 300 zaibiwa kimafia Dar

Habari za huo wizi zimeandikwa katika gazeti la Mwananchi la leo http://www.mwananchi.co.tz/newsrids.asp?id=18659. Kama ni kweli basi Tz inatisha.

Kwa faida ya wote.

 
Kwa faida ya wote.
Abdulhalim!
Kila siku nalia na sera mbovu za kifedha walizoparamia Ruksa na Mkapa. Wale wote kwao uchumi ulikuwa ni sawa ndoto ya mchana. Mwinyi was and still is a frustrated teacher na hata last year alichapwa kofi na kijana anayepaswa kuwa mjukuu wake simply kwa kushindwa kuusoma mhadhara. Wakati Mkapa akiwa ni mwandishi wa habari mlevi wa hovyo na mpenda wanawake japo bunduki haina risasi.(ni baruti) tu .Dunia nzima hakuna nchi amabyo haina control on forex transactions its only tanzania.Narudia this is only the tip of the iceberg na tutarajie mengi mpaka tutie akili.We should borrow from the past on import licence;export licence and harmonize bank transactions under the control of new BOT. Vinginevyo inakula kwetu mkimwambia Manumba what can he do with his very poorly motivated cops!!! Mkulo na swahiba wako Kikwete acheni kuhudhria mdundiko na hitma hapa na ughaibuni pasueni bongo wacheni mchezo kwani kazi mbaya iatawasuta hata makaburini!!
 

Hata mi nashangaa hapa. The whole thing sounds fishy, miela yote hiyo kuibwa in a nick of very time kwenye uchaguzi 2010?? Je ni kweli tuna system hopeless kiasi fedha nyingi kiasi hicho inachotwa ktk kipindi kifupi??

We are cursed and doomed to death.
 
Tanzania tunadekeza maovu. Hizi pesa zimeibiwa na watu wanaofanya kazi ndani ya benki zetu wakishirikiana na marafiki zao ndani na nje ya nchi. Hii imetokana na nchi kuwa na sera ya kulea na kukumbatia maovu. Katika sakata la EPA, Richmond na Kiwira serikali haijachukuwa hatua zozote za maana kuonesha kwamba matendo hayo ni machafu na wala wahusika hawakuchukuliwa hatua za aina yoyote, sasa kwanini nao mabenka wetu wasifuate nyayo hizo za wizi?. Ukiiba pesa za kutisha ndani ya Tanzania utalindwa na kupewa heshima zote ndani ya nchi yetu.
 
Nilidhani wameanzisga TISS kwa ajili ya kudhibiti mambo kama haya. What is happening jamani?
 

You are right, quite right! Halafu Meghji alipokuwa Waziri wa Fedha alipiga marufuku makampuni kutoza dola za Kimarekani kwenye ankara zao, ila bado hakuna utelezaji. Yaani hii nchi ina sheria zisizokuw ana meno kabisa!
 
Nilidhani wameanzisga TISS kwa ajili ya kudhibiti mambo kama haya. What is happening jamani?

EPA wameona aibu unafikiri pesa za uchaguzi wanatoa wapi jamani;....
hivi mnafikiri yule raisi alikuwa mjinga kusaini Ule muswaada...hiyo mwanzo
KIDUMU CHAMA CHA MAJAMBAZI
 

ndugu yangu ukilaumu maraisi mwinyi na mkapa utakuwa hujawatendea haki, sio kila uzembe walaumiwe maraisi, huyo raisi atafanya mambo mangapi nchi hii?
Kwani hana wasaidizi wakumsaidia ktk vitengo husika?
Kwanini hao wasaidizi wasilaumiwe?
Hizi benki ndio za kupaswa kulaumiwa na bot.
Mifumo yao ya kiutendaji ni mibovu kabisa!!
Kwani hizo benki si zina wahusika wa hivyo vitengo vya forex transactions ?
Kwanini wasibanwe hao wahusika moja kwa moja kuhusika na huo wizi ?
Kama wao hawahusiki wataje nani kahusika .
Kwanini unamuona mwizi yule halafu unazunguka mbali kumtafuta nani kaiba?
Mambo ni very clear kitengo chochote uzembe ukitokea walio ktk hicho kitengo wanakamatwa.
Mfano liyumba alikamatwa sababu yeye ndio alikuwa mkuu wa kitengo cha bot kilichohusika na ufujaji wa pesa za ujenzi ktk majengo ya bot.
Mfano mfumo wa kiutendaji wa barlays benki unaniibia hata mimi mlalahoi vijipesa vyangu kwenye akaunti sembuse hayo majipesa makubwa yanayozagaa zagaa kwenye masefu yao?
Pia wote tuliona ktk magazeti wafanya kazi kibao wa barclays walikuwa na kesi ya kujibu kuhusika na kuibia benki na wateja sijui kesi yao ilikuja kuishia wapi.
Conclussion wakamatwe wakuu wa vitengo wabanwe mpaka wajikojolee wataje muhusika nani.
China ukikutwa na kesi ya kuibia umma unanyongwa hadharani!
 
MODs......ziko threads tatu(3) za issue hii...why not merge them please...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…