Bilioni 47 zilizotengwa Vyeti Feki walipwe hawa

Bilioni 47 zilizotengwa Vyeti Feki walipwe hawa

Stuka

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
282
Reaction score
906
SUALA la kulipwa watumishi wa umma waliotumbuliwa vyeti feki kiasi cha shilingi Bilioni 47 linaonekana kuwa na kizungumkuti wa kisheria ndio maana hadi sasa hakuna Waziri Jenista Mhagama anawalalamikia maafisa utumishi kwamba wamekaidi agizo la Rais.

Nilikuwa nashauri hizo bilioni 47 zitumika kuwaongezea mishahara wale watumishi wa umma waliostaafu walioilitumikia Taifa kwa uzalendo na uadilifu mkubwa ambao wengi wao wako na hali ngumu sana kimaisha.

Pili zitumike kuwalipa stahiki zao za halali watumishi wa uuma walioko kazini wenye madai halali ya malimbikizo ya mishahara, nauli na posho za likizo ili tutengeneze morali kwa watumishi wa umma.
 

Attachments

  • IMG-20221026-WA0046-755x1024.jpg
    IMG-20221026-WA0046-755x1024.jpg
    125.8 KB · Views: 9
SUALA la kulipwa watumishi wa umma waliotumbuliwa vyeti feki kiasi cha shilingi Bilioni 47 linaonekana kuwa na kizungumkuti wa kisheria ndio maana hadi sasa hakuna Waziri Jenista Mhagama anawalalamikia maafisa utumishi kwamba wamekaidi agizo la Rais.

Nilikuwa nashauri hizo bilioni 47 zitumika kuwaongezea mishahara wale watumishi wa umma waliostaafu walioilitumikia Taifa kwa uzalendo na uadilifu mkubwa ambao wengi wao wako na hali ngumu sana kimaisha.

Pili zitumike kuwalipa stahiki zao za halali watumishi wa uuma walioko kazini wenye madai halali ya malimbikizo ya mishahara, nauli na posho za likizo ili tutengeneze morali kwa watumishi wa umma.
Ni chama kile kile, pigeni pesa zenu sie tulisha wakubali, na hatuna la kuwafanya sie waoga sana.
 
SUALA la kulipwa watumishi wa umma waliotumbuliwa vyeti feki kiasi cha shilingi Bilioni 47 linaonekana kuwa na kizungumkuti wa kisheria ndio maana hadi sasa hakuna Waziri Jenista Mhagama anawalalamikia maafisa utumishi kwamba wamekaidi agizo la Rais.

Nilikuwa nashauri hizo bilioni 47 zitumika kuwaongezea mishahara wale watumishi wa umma waliostaafu walioilitumikia Taifa kwa uzalendo na uadilifu mkubwa ambao wengi wao wako na hali ngumu sana kimaisha.

Pili zitumike kuwalipa stahiki zao za halali watumishi wa uuma walioko kazini wenye madai halali ya malimbikizo ya mishahara, nauli na posho za likizo ili tutengeneze morali kwa watumishi wa umma.
Naunga mkono hoja
 
Wapewe, kwani hiyo ni michango yao kwa muda waliotumika.......baada ya kuwatumia miaka nenda rudi leo ndo mmegundua kwamba wana vyeti feki? wapeni haki yao msilete ujanja ujanja kwenye jasho la watu.
 
Kwa kweli kulipa pesa watu waliogushi vyeti ni kuunga mkono ufisadi na wizi! HATUKUBALI!! Kosa ni la washauri wa Rais!! Rais ameingizwa mkenge! Ukute kuna kigogo aliofojia cheti mtoto wake na anampotosha rais kwa ushauri mbovu huku lengo lake ni kumtetea tu mtoto wake! Mama umeingizwa mkenge, shtuka au gutuka!
 
Kwa kweli kulipa pesa watu waliogushi vyeti ni kuunga mkono ufisadi na wizi! HATUKUBALI!! Kosa ni la washauri wa Rais!! Rais ameingizwa mkenge! Ukute kuna kigogo aliofojia cheti mtoto wake na anampotosha rais kwa ushauri mbovu huku lengo lake ni kumtetea tu mtoto wake! Mama umeingizwa mkenge, shtuka au gutuka!
Acheni ujinga,kwani kama walighushi kosa la nani kwa nini Mamlaka haikutambua kosa lao mwanzo badala yake wakawaajiri.Wacheni walipwe haki yao
 
Back
Top Bottom