What do you mean "wamechukua"? Kampuni zililazimishwa/shurutishwa au zilichangia zanyewe kwa woga wao? Hebu fafanua zaidi
Tayari CCM imeshayakamua makampuni mbalimbali yaliyopo tanzania. Mpaka sasa imekusanya tzs bilioni 40, lengo ni bilioni 50(milioni 50,000.00). Kisa... Kampeni!
...kwangu hiki ni kielelezo cha ujinga wa viongozi wetu, hawaangalii upande wa pili. Kampuni hizi kesho zikikwepa kodi utazilaumu? Kesho zikichota fedha BOT utazilaumu? Kesho zikipora ardhi za wananchi utakuwa na ujasiri wa kukemea? Kesho zikijenga barabara feki utaweza kuchukua hatua??? ...nani hasa anayeumia?
...kwanini chama kisichangiwe na wanachama wake kama ilivyo kwa wenzetu???
What do you mean "wamechukua"? Kampuni zililazimishwa/shurutishwa au zilichangia zanyewe kwa woga wao? Hebu fafanua zaidi
nitaleta data soon ya ujambazi wa CCM , wamechukua THS. BILIONI 1.8 toka TANAPA aidha pia MAMLAKA YA NGORONGORO wamechukua Bilioni 1.2 nimepokea vielelezo vya SONGAS wamechukua Bilioni 4 naendelea kuunganisha ushaiidi huu ili nimpe Dr. slaa na pia kuuwasilisha Benki ya Dunia na kwa wafadhili ili wachukue maamuzi.
nitaleta data soon ya ujambazi wa CCM , wamechukua THS. BILIONI 1.8 toka TANAPA aidha pia MAMLAKA YA NGORONGORO wamechukua Bilioni 1.2 nimepokea vielelezo vya SONGAS wamechukua Bilioni 4 naendelea kuunganisha ushaiidi huu ili nimpe Dr. slaa na pia kuuwasilisha Benki ya Dunia na kwa wafadhili ili wachukue maamuzi.
Vyama vyote vya siasa vinafanya fundraising...sasa tatizo liko wapi ? Ukitoa malalamiko ni vizuri kuthibitisha au sio inakuwa ni majungu tu!
Sioni tatizo la CCM kukusanya bilioni 50 kwa njia ya fund raising..ishu labda tuseme matumizi ya hela zote hizo kwa kampeni..sina hakika na sijaona mchanganuo wa CCM kwa ajili ya kampeni zake mwaka huu ila nadhani hayo ni malengo waliyojiwekea ili kuweza kushindana kikamilifu katika uchaguzi...suala la msingi si kulaumu makampuni yanayochangia ila ni kuyabana yachangie kwa mtindo huu huu kwenye huduma za jamii kwani kama inawezekana kuchangia CCM basi inawezekana kuchangia maendeleo ya jamii kwa kiwango hikihiki walichochangia kwa njia hizo hizo...nadhani CCM wamewazidi mbinu tu wapinzani kwenye hili kwani hata wapinzani wangetumia fursa hii kukusanya fedha za kampeni ila kwa kuwa makampuni yalishawahiwa na kujicommit kuchangia CCM hivyo inawawia ugumu kuchangia na upinzani pia..nijuavyo mimi kampeni zina mambo mengi na humo pia kuna watu hujitengenezea miradi yao na kujipatia chochote so sishangai kuona CCM ikilenga kukusanya BIL 50 kwa kampeni kwani gharama za vifaa vya uchaguzi nk ni kubwa ukichukulia ni kampeni ya kuzunguka nchi nzima kwa takriban miezi miwili...hapa ndipo CCM huwapiga bao wapinzani ambao huchagua maeneo muhimu kwa kuwa gharama ya kuzunguka kila kona ni kubwa mno.
binafsi sipendi ufisadi ila kwenye hili natofautiana kidogo na baadhi ya watu coz nazitazama bil 50 na matumizi yake ktk uchaguzi kwa maana ya gharama halisi ya kuzunguka mikoa yote kwa kampeni au kanda zote na kundi linalozunguka je uwezeshaji wake ukoje? kinachonichukiza ni pale baadhi ya watu wenye mamlaka wanapotumia fedha hizi kunyanyasa wanyonge na kujinufaisha binafsi hali inayopelekea CCM kuingia lawamani kwamatumizi mabaya ya fedha ambazo malengo yake ni kampeni japo hawabanwi jinsi ya kuitumia( wanaweza kutumia kwa kuimarisha chama kwa fedha hizo nk.)
Rai yangu ni kwa vyama vingine kuchukua hii kama changamoto ili nao wanapokuwa na fedha ya kutosha basi ushindani utaongezeka na pengine kupunguza margin kati ya ushindi wa tsunami wanaoutambia CCM na mshindi wa pili na mwishowe mageuzi yatawezekana.
anasema wamechukua maana TANAPA ni ya watanzania na hatujatoa ridhaa ya kuzitoa
Kaka unapotaka kuhakikisha unarudi madarakani by all means hii ndiyo maana yake, unakumbuka zile Mahindra 4 x 4 za CCM toka india?
nitaleta data soon ya ujambazi wa CCM , wamechukua THS. BILIONI 1.8 toka TANAPA aidha pia MAMLAKA YA NGORONGORO wamechukua Bilioni 1.2 nimepokea vielelezo vya SONGAS wamechukua Bilioni 4 naendelea kuunganisha ushaiidi huu ili nimpe Dr. slaa na pia kuuwasilisha Benki ya Dunia na kwa wafadhili ili wachukue maamuzi.