Bilioni moja za Rais VS Serengeti Boys

jembelamkono

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
2,733
Reaction score
2,012
Kweli cha mtu huliwa na watu.
Ndo tuseme Bilioni moja alizotoa mheshimiwa raisi kwa timu ya vijana ya Serengeti Boys ndio zimeondoka kwa aibu ya kipigo kile?

Pamoja na kuwa mwenyeji wa mashindano bado timu imeshindwa hata kuondoka na point moja mpaka inayaaga mashindano?

Naamini hapa kuna watu inabidi wawajibishwe,na pesa warudishe.
Ni aibu mpaka sasa wahusika kukaa kimya kana kwamba hakuna lililotokea!!!
 
Billion 1 ya hawa madogo na ile Milioni 50 ya wakubwa wao. Hizi pesa zimeniuma sana bora tungenunua dawa ya mbu kupambana na Malaria kuliko kufedheheshwa kiasi hiki.
 
Ndani ya muda mchache zimeyoyoma mkuu.
Billion 1 ya hawa madogo na ile Milioni 50 ya wakubwa wao. Hizi pesa zimeniuma sana bora tungenunua dawa ya mbu kupambana na Malaria kuliko kufedheheshwa kiasi hiki.
 
Kama hujui soka kaa kimya kuliko kuongelea mambo usioyajua..!Hata Brazil ilitumia mabilioni ya hela kuandaa kombe la dunia na wakakosa..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…