Bill Gates anatumia Android kama kawaida

Jiulize maswali haya

1. Amekwambia ana simu moja tu ya android? Je kama anazo both iphone and android?
2. Je unajua ni android gani anayotumia na ya sh ngapi (lets say samsung s9 au note 9 ambayo bei yake haina tofauti na high end Iphones)
3. Si kila tajiri ni fan wa iphones wapo wengi wanapenda android.

Lastly, tuache mawazo ya kimasikini
 


Kitu kingine ni kwamba anatumia android ili iwe rahisi kufanya tweaks za kuweka mambo yake na microsoft apps etc kitu ambacho kwa iphone hauwez kufanya tweaks hizo
 
Android ina uhuru mkubwa kuliko kwenda kujifungia jela ya iPhone
 
Just live your life, vitu tunanunua kutokana na utashi na uwezo wa kifedha, the rest ni ulimbukeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…