Billionea Laizer amethibitisha utajiri wa nchi yetu

Billionea Laizer amethibitisha utajiri wa nchi yetu

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Kwamba mawe ya dhahabu, almasi, Tanzanite yaliyoko ardhini yana utajiri ambao hakuna nchi yoyote ya Ulaya wala Marekani inaweza kufikia thamani take.

Rutuba ya ardhi iliyoko. Tanzania ni zaidi ya majengo yote yaliyoko Ulaya na Marekani.

Samaki tulionao kwenye maziwa na bahari utajiri wake ni zaidi ya fedha zote zilizoko Ulaya na Marekani

Nchi yetu ni tajiri; tubadilishe mindset tu kuwa tajiri ni pamoja na kumiliki ng'ombe, mashamba kunywa maziwa kula chakula cha asili.

Kulala kwenye nyumba za tembe si umasikini ni mind satisfaction.
 
Lakini umaskini ulioletwa na CCM ni mkubwa sanaaa pamoja na rasilimali zote hizo..
CCM na ilaaniwe.
 
Kila siku wakati huwa nawaza sana hivi kweli bado tunaamini kuwa ili tuendelee tunahitaji watu, ardhi, siasa safi na Uongozi Bora au ndio maandishi tu yameandikwa???
 
Back
Top Bottom