Ushajiuliza hizo hela kiasi gani kinaenda kwenye huo mradi na kiasi gani kinaenda kwenye fungu la ccm la uchaguzi 2015 na kiasi gani kinaingia matumbo ya mafisadi?
Ombea hizo hela zitumike ipasavyo ili wananchi wanufaike na huo mradi. la sivyo hizo hela zinaliwa zote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.