Ushajiuliza hizo hela kiasi gani kinaenda kwenye huo mradi na kiasi gani kinaenda kwenye fungu la ccm la uchaguzi 2015 na kiasi gani kinaingia matumbo ya mafisadi?
Ombea hizo hela zitumike ipasavyo ili wananchi wanufaike na huo mradi. la sivyo hizo hela zinaliwa zote.